Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Hawa neemaherbalist (neemaherbalist.blogspot.com) kwa muda sasa wamekuwa wakijitangaza kutibu magonjwa mbali mbali ( kama Upungufu wa Nguvu za Kiume, vidonda vya tumbo, kisukari, malaria n.k) kwa kutumia dawa za asili.
Nilikuwa naomba kama kuna mtu ambaye ameshatumia dawa zao, au anafahamu watu waliokwisha tumia dawa zao,
Je, Dawa zao zinatibu kama wanavyosema?
Na Je, hazina madhara yoyote kwa mtumiaji kiafya?
Nawasilisha.
Nilikuwa naomba kama kuna mtu ambaye ameshatumia dawa zao, au anafahamu watu waliokwisha tumia dawa zao,
Je, Dawa zao zinatibu kama wanavyosema?
Na Je, hazina madhara yoyote kwa mtumiaji kiafya?
Nawasilisha.