naombeni msaada wa kiroho, nahisi kama nimeingiwa na pepo mbaya na sijui nitatoka vp, kwa mujibu wa dini yangu ni kwamba huu mchezo ni mbaya sana.
im about 28 yrs old, nina mchumba ninayempenda sana,ila tunaishi nchi tofauti,kuonana mara moja kwa mwezi au inaweza ifike hata miezi miwili kutokana na majukumu ya kila mmoja wetu.
nina kama mwaka hivi nimeanza kuingiwa na shetani wa u lesbian, nikiona matiti ya mwanamke mwenzangu nalowana huko chini,(especial wale wa kwenye magazeti) natamani kukiss mwanamke, akipita mrembo kajaaliwa kwa kweli nitageuka kumuangalia mpaka najikwaa, sasa hivi nina kama miezi 6 ndoto ninazoota ni kwamba namegana na mwanamke mwenzangu,i feel like i need a soft touch, namkimbiaje huyu shetani? sitaki kutenda hii dhambi ila nadhani uzalendo unakaribia kunishinda toka nianze kuota mara kwa mara.
NB: natamani kishuke kitabu chengine kutoka kwa mungu ambacho kinaruhusu kumegana na mwanamke mwenzako, kwasababu kitu kinachonizuia nisiweze kufanya huu mchezo ni DINI tu na kuogopa wazazi, otherwise mimi ni kwishneihe
im about 28 yrs old, nina mchumba ninayempenda sana,ila tunaishi nchi tofauti,kuonana mara moja kwa mwezi au inaweza ifike hata miezi miwili kutokana na majukumu ya kila mmoja wetu.
nina kama mwaka hivi nimeanza kuingiwa na shetani wa u lesbian, nikiona matiti ya mwanamke mwenzangu nalowana huko chini,(especial wale wa kwenye magazeti) natamani kukiss mwanamke, akipita mrembo kajaaliwa kwa kweli nitageuka kumuangalia mpaka najikwaa, sasa hivi nina kama miezi 6 ndoto ninazoota ni kwamba namegana na mwanamke mwenzangu,i feel like i need a soft touch, namkimbiaje huyu shetani? sitaki kutenda hii dhambi ila nadhani uzalendo unakaribia kunishinda toka nianze kuota mara kwa mara.
NB: natamani kishuke kitabu chengine kutoka kwa mungu ambacho kinaruhusu kumegana na mwanamke mwenzako, kwasababu kitu kinachonizuia nisiweze kufanya huu mchezo ni DINI tu na kuogopa wazazi, otherwise mimi ni kwishneihe