Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
WanaJF nina kitu kinanitatiza kidogo hapa, eti unapochagua research topic fulani ni lazima iwe haijawahi kufanyiwa kazi na mtu mwingine hapa Tanzania? Kama hivyo ndivyo mi nitajuaje topic yangu niliyoichagua haijafanyiwa kazi na mwanafunzi mwingine hapa Tz. Nauliza haya kwa sababu kila topic nikisema nataka kuifanyia kazi my colleagues wananiambia aah hiyo kuna jamaa ameiandikia mwaka jana, ama mwingine anasema aah hiyo iko over done!
Naombeni msaada wenu katika hili tafadhali coz time inakimbia sana. My area of interest is finance/accounting na nafanya MBA-Finance and Banking.
Naombeni msaada wenu katika hili tafadhali coz time inakimbia sana. My area of interest is finance/accounting na nafanya MBA-Finance and Banking.