Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,473
Website ya NEC ina habari zilizopitwa na wakati na nyingine kutokuwepo kabisa. Mfano, results database - ilibidi database ya 2010 iwe tayari na mara matokeo yanapotumwa kutoka kwenye majimbo basi nasi tuweze kuona moja kwa moja badala ya kusubiri Lewis atangaze kwenye Luninga. Na ingepunguza kabisa 'chakachua'.
Source: The Citizen 27 Oct. 2010
Source: The Citizen 27 Oct. 2010