Mzozo wa Mizozo
JF-Expert Member
- May 26, 2008
- 426
- 12
Kila mara nauliza hapa je tufanyeje? maana maneno meeengi JF lakini yanaishia kwenye keyboard. Hakuna jipya.
Lakini kwa kuwapa burudani hatuna mpinzani.
Wewe wahisi ya kwamba mambo haya yanaishia kwenye Keyboard tu lakini hao wa Serikalini wanafahamu Shughuli ya hili Jukwaa...
JF ni mwanga na kwenye giza daima tutaangaza!