NEC yapinga waraka wa Jaji Bomani

- Sioni ishu hapa, wananchi wanaongezeka na majimbo lazima yaongezeke hili linaeleweka na dunia nzima, tatizo ni maviongozi magoi goi tunaowachagua kutoka haya majimbo na ni sisi wananchi, ni lini tutachagua viongozi wanaotufaa kwenye taifa, I mean mbunge ashindwe jimbo basi awe bora kwenye taifa basi!

- Yaaani mtu huna macho, sasa hata akili nazo huna! Damn!

Respect.


FMEs!

Hapo unataka kusemaje kaka?

Yaani kweli Tanzania tunaongezeka kwa kasi gani hiyo ya kuhitaji kuongezewa majimbo?

Ungekuwa unatetea kuongezwa kwa wilaya na mikoa ningekuelewa kwani hizi ni serikali/ tawala za ngazi ya chini.
 
- Sioni ishu hapa, wananchi wanaongezeka na majimbo lazima yaongezeke hili linaeleweka na dunia nzima, tatizo ni maviongozi magoi goi tunaowachagua kutoka haya majimbo na ni sisi wananchi, ni lini tutachagua viongozi wanaotufaa kwenye taifa, I mean mbunge ashindwe jimbo basi awe bora kwenye taifa basi!

- Yaaani mtu huna macho, sasa hata akili nazo huna! Damn!

Respect.


FMEs!

kaka hapa sikubaliani na wewe
Kuna issue kubwa. PRIORITY inabidi iwe kupunguza ratio kubwa ya idadi ya wagonjwa :Daktari , na si kupunguza ratio wa wakazi:mbunge

[It is typical of underdeveloped economies that they do not (or are not allowed to) concentrate on those sectors of the economy which in turn will generate growth and raise production to a new level altogether, and there are very few ties between one sector and another so that (say) agriculture and industry could react beneficially on each other.

Furthermore, whatever savings are made within the economy are mainly sent abroad or are frittered away in consumption rather than being redirected to productive purposes. Much of the national income which remains within the country goes to pay individuals who are not directly involved in producing wealth but only in rendering auxiliary services-civil servants, merchants, soldiers, entertainers, etc. What aggravates the situation is that more people are employed in those jobs than are really necessary to give efficient service; and to crown it all these people do not reinvest in agriculture or industry. They squander the wealth created by the peasants and workers by purchasing cars, whisky and perfume.

It has been noted with irony that the principal ‘industry' of many underdeveloped countries is administration. Not long ago, 60%, of the internal revenue of Dahomey went into paying salaries of civil servants and government leaders. The salaries given to the elected politicians is higher than that given to a British Member of Parliament, and the number of parliamentarians in the underdeveloped African countries is also relatively high. In Gabon, there is one parliamentary representative for every 6,000 inhabitants, compared to one French parliamentary representative for every 100,000 Frenchmen. Many more figures of that sort indicate that in describing a typical underdeveloped economy it is essential to point out the high disproportion of the locally distributed wealth that goes into the pockets of a privileged few.

source: http://www.marxists.org/subject/africa/rodney-walter/how-europe/ch01.htm#s1

Sasa sijui hapo utasema nini
 
Mfano mzuri tulionao ni Dar es salaam. Wameongeza Mikoa ya kipolisi lakini uhalifu uko palepale kwenye baadhi ya maeneo umeongezeka, wameongeza majimbo ya uchaguzi lakini mabadiliko majimboni hakuna, na haioneshi kama watu wanawakilishwa vizuri kuliko kulivyokuwa na wabunge watatu. Hata tukiongeza idadi ya wizara haina maana kuwa kutakuwa na utendaji mzuri wa serikali. JK alijaribu kuanzisha wizara ya usalama wa raia lakini imefika wapi, ujambazi ndio uliongeza zaidi.
Hii ni cheap politics tu. Tanzania hata wabunge 50 wanatosha sana, kama wabunge hao 50 wakifanya kazi zao inavyotakiwa kutakuwa na representation nzuri sana kuliko sasa.
CCM ina mila ya kukataa mapendekezo ya tume, si mara ya kwanza ya pi8li wala ya tatu. Tume ya Nyalali, tume ya Warioba na Tume ya Bomani, na sasa tusibiri ya Mwinyi, pia mapendekezo yake yatakataliwa.
 
Hili neno "waraka" limekua fashion kama "ufisadi".

Blame it on the media. I am quite sure Mr Bomani didn't use that word in his document.

But you are right. It is among the top 5 catch phrases in the political circles in Tanzania at the moment
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom