MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 61
Na swali lingine la kujiuliza ..Je kwa marekebisho hayo, haiwezi kuathiri namba ya wabunge wa viti maalum? sababu namba yao inatokana na namba ya kura za Ubunge. Kutokana na marekebisho hayo CCM imepoteza zaidi ya kura 6,000 na CDM imeongeza zaidi ya kura 600 za ubunge..!