Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Hii ni mara ya pili Mama Salma Kikwete anaingilia mikutano(msafara) wa mgombea urais wa Chadema Dr. Slaa.
Mara ya kwanza ni wakati ratiba ya mikutano ya Slaa ilikuwa inaonyesha angekuwa Mbulu mjini siku hiyo karibu vurugu zitokee kwa kugombea uwanja. Safari hii makundi hayo yote yamekutana mkoani Mara sehemu ya Mwibara. Mara ya tatu nafikiri ngumi zinaweza kutokea.
Je ina maana Mama Kikwete hana ratiba ya mikutano iliyotolewa na NEC, kama anayo kwanini amepanga kila unapokuwa msafara wa Slaa na yeye yupo. Ni nani basi anayeingilia ratiba ya mwingine, nasema hivi kwa sababu kuna siku fujo zinaweza kutokea kama ilivyokuwa Mbulu mjini.
Kama ratiba ya NEC inajulikana na Tanzania ni kubwa kwanini basi makundi hayo yasipangwe sehemu tofauti. Kama haiwezekani kuyatofautisha naomba NEC iingize ratiba ya safari za Salma kwenye ratiba yao ya kampeni za vyama na WAMA kiwe kama chama cha siasa ili kuepusha mwingiliano na vyama vingine, wakati mwingine inakera.
Mara ya kwanza ni wakati ratiba ya mikutano ya Slaa ilikuwa inaonyesha angekuwa Mbulu mjini siku hiyo karibu vurugu zitokee kwa kugombea uwanja. Safari hii makundi hayo yote yamekutana mkoani Mara sehemu ya Mwibara. Mara ya tatu nafikiri ngumi zinaweza kutokea.
Je ina maana Mama Kikwete hana ratiba ya mikutano iliyotolewa na NEC, kama anayo kwanini amepanga kila unapokuwa msafara wa Slaa na yeye yupo. Ni nani basi anayeingilia ratiba ya mwingine, nasema hivi kwa sababu kuna siku fujo zinaweza kutokea kama ilivyokuwa Mbulu mjini.
Kama ratiba ya NEC inajulikana na Tanzania ni kubwa kwanini basi makundi hayo yasipangwe sehemu tofauti. Kama haiwezekani kuyatofautisha naomba NEC iingize ratiba ya safari za Salma kwenye ratiba yao ya kampeni za vyama na WAMA kiwe kama chama cha siasa ili kuepusha mwingiliano na vyama vingine, wakati mwingine inakera.