Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
Jana usiku NEC wametangaza kuahirisha uchaguzi katika majimbo matatu na kata nyingi tu mpaka tarehe nyingine itakayopangwa na kutangazwa hapo baadaye.
Sababu ya kuahirisha ni ukosefu wa vifaa.
My take:
Kwa nini NEC hawajifunzi kutoka NECTA kusambaza vifaa?