Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Afadhali. Lakini bado hawajarekebisha kwenye tovuti. Ipi inaprevail kati ya maandishi na maelezo ya mdomo?
Huko ni kuchakachua, walichosoma ndicho walichochakachua kwenye makaratasi, baadaye wakapeleka kwenye tovuti yao ya matokeo yaliyochakachuliwa. Wameumbuka haooooooo!