Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Chadema wamedai kuwa takwimu za kitaalamu zinaonyesha wapigakura wapo milioni kumi na sita lakini daftari laonyesha milioni kumi na tisa.
Hivyo kuna karibu milioni tatu ambazo huenda zimeongezwa kwa makusudi na NEC ili kukisaidia CCM kipate ushindi wa mezani.
SOURCE: CHANNEL TEN TAARIFA YA HABARI YA SAA MOJA USIKU
Hivyo kuna karibu milioni tatu ambazo huenda zimeongezwa kwa makusudi na NEC ili kukisaidia CCM kipate ushindi wa mezani.
SOURCE: CHANNEL TEN TAARIFA YA HABARI YA SAA MOJA USIKU