Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), John Kiravu aliliambia gazeti hili kuwa, kuanzia Julai mosi hadi Julai 10, 2010 tume hiyo ilitoa muda kwa wale waliotaka kuhamisha taarifa zao katika daftari la wapiga kura, wafanye hivyo ili wapige kura katika eneo walilopo.