Elections 2010 NEC Kutopeleka vifaa vya kutosha kwenye majimbo ambayo upinzani una nguvu

Bobuk

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
5,870
3,270
Ndugu wanaJF kuna tetesi kwamba NEC kwa kushirikiana na CCM wamebuni njia ya kuchakachukua matokeo (vote riging) kwa kutopeleka vifaa vya kutosha vya kupigia kura kwenye majimbo yote ambao upinzani unakubalika (strongholds). Usalama wa Taifa tayari umewakilisha majina ya majimbo ambayo CCM haikubaliki kwa "kikosi kazi" cha CCM (chini ya Makamba) majimbo yote ambayo mgombea wa CCM hakubaliki.

Tayari Makamba ameshapeleka orodha ya majimbo hayo kwa JK, na JK kwa kushirikiana na baadhi wa watendaji wa NEC (Jaji Lewis Makame hajui mpango huo) tayari wameshaandaa mpango huo wa kupelekaka vifaa pungufu vya upigaji kura ila wananchi wengi wa majimbo haya wasipate haki yao ya msingi ya kupiga kura. Tayari viongozi wa CCM wa wilaya wameshapewa maelekezo wawambie wanachama wa CCM wawahi mapema kwenye vituo vya kupigia kura ili wapige kura zao mapema kabla ya karatasi za kupigia hazijamazika.

Mkakati huo unafanana fanana na ule uliofanyika mwaka 1995 jijini DSM na baadhi ya majimbo ya Zanzibar ambapo mpeleka vifaa alipotea na karatasi za kupigia kura kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni wakati vituo tayari vimefungwa ndipo alipofika kituoni kwa kisingizio eti alipotea.

Sina uhakika kama uongozi wa CHADEMA tayari wameshaupata mpango huu. Mimi nimeelezwa na kada mmoja wa CCM wa ngazi ya juu wa wilaya. Ninaomba mtu yeyote aliyepo karibu na uongozi wa CHADEMA awafikishie huu mpango muovu unaondaliwa kutunyang'anya watanzania haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka.

Haki hupiganiwa, Mungu ibariki Tanzania
 
lisemwalo lipo na kama halipo linajongea..
Mana hata mimi ninavofaamu kwnye majimbo ambayo ccm wamezidiwa lazma walete zengwe la kuchelewesha vifaa au kuwa na spidi ndogo ili watu wakate tamaa kwenye foleni
 
Thanks mkuu tutawafikishia ujumbe wenzetu. Jimbo la Ilemela majina ya watakaopiga kura yalibandikwa ukutani mvua imenyesha karatasi zimechanika na majina hayasomeki tena.Msimamizi wa uchaguzi amesema" sasa sisi tufanyaje? Majina tumeweka ukutani yamenyeshewa na mvua." mpango wa kuweka tena haupo. Chanzo cha habari ni TBc redio taarifa ya habari saa 10 jioni:
 
Ndugu wanaJF kuna tetesi kwamba NEC kwa kushirikiana na CCM wamebuni njia ya kuchakachukua matokeo (vote riging) kwa kutopeleka vifaa vya kutosha vya kupigia kura kwenye majimbo yote ambao upinzani unakubalika (strongholds). Usalama wa Taifa tayari umewakilisha majina ya majimbo ambayo CCM haikubaliki kwa "kikosi kazi" cha CCM (chini ya Makamba) majimbo yote ambayo mgombea wa CCM hakubaliki.

Tayari Makamba ameshapeleka orodha ya majimbo hayo kwa JK, na JK kwa kushirikiana na baadhi wa watendaji wa NEC (Jaji Lewis Makame hajui mpango huo) tayari wameshaandaa mpango huo wa kupelekaka vifaa pungufu vya upigaji kura ila wananchi wengi wa majimbo haya wasipate haki yao ya msingi ya kupiga kura. Tayari viongozi wa CCM wa wilaya wameshapewa maelekezo wawambie wanachama wa CCM wawahi mapema kwenye vituo vya kupigia kura ili wapige kura zao mapema kabla ya karatasi za kupigia hazijamazika.

Mkakati huo unafanana fanana na ule uliofanyika mwaka 1995 jijini DSM na baadhi ya majimbo ya Zanzibar ambapo mpeleka vifaa alipotea na karatasi za kupigia kura kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni wakati vituo tayari vimefungwa ndipo alipofika kituoni kwa kisingizio eti alipotea.

Sina uhakika kama uongozi wa CHADEMA tayari wameshaupata mpango huu. Mimi nimeelezwa na kada mmoja wa CCM wa ngazi ya juu wa wilaya. Ninaomba mtu yeyote aliyepo karibu na uongozi wa CHADEMA awafikishie huu mpango muovu unaondaliwa kutunyang'anya watanzania haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka.

Haki hupiganiwa, Mungu ibariki Tanzania
Hii si habari ya kupuuza kila njama itafannywa kuhakikisha kuwa Kikwete na CCM wanashinda hivyo ndugu zangu kila hatua zichukuliwe kuzuia hujuma hizi chafu.
 
Ndugu wanaJF kuna tetesi kwamba NEC kwa kushirikiana na CCM wamebuni njia ya kuchakachukua matokeo (vote riging) kwa kutopeleka vifaa vya kutosha vya kupigia kura kwenye majimbo yote ambao upinzani unakubalika (strongholds). Usalama wa Taifa tayari umewakilisha majina ya majimbo ambayo CCM haikubaliki kwa "kikosi kazi" cha CCM (chini ya Makamba) majimbo yote ambayo mgombea wa CCM hakubaliki.

Haki hupiganiwa, Mungu ibariki Tanzania

We endelea tu kuleta uzushi na uchochezi wako hapa ukifikiri hilo litakusaidia.

Tena na uende ukahakikishe jina lako katika kituo ulichojiandikisha isije fika siku hiyo ya kupiga kura halafu useme hee mbona jina langu silioni. Maana hamkawii watu kama nyie kwenda mmechelewa halafu mnaanza kuvuta midomo.

Malalamiko na visingizio CCM tumeshavizoea na havikuanza 2015 kwa taarifa yako.
Nchi itaongozwa na CCM Daima.

VIVA CCM... VIVA JAKAYA
 
Hii source yake ni wapi?

Wewe unataka source za magazetu tu ndiyo uamini?? Jamaa kasema ameambiwa na kada wa CCM wa wilaya. Sasa sijui wewe unataka amtaje jina au una maana gani?? Wewe hujui kuwa magazeti yenewew huwa yanapata source za habari JF??
 
We endelea tu kuleta uzushi na uchochezi wako hapa ukifikiri hilo litakusaidia.

Tena na uende ukahakikishe jina lako katika kituo ulichojiandikisha isije fika siku hiyo ya kupiga kura halafu useme hee mbona jina langu silioni. Maana hamkawii watu kama nyie kwenda mmechelewa halafu mnaanza kuvuta midomo.

Malalamiko na visingizio CCM tumeshavizoea na havikuanza 2015 kwa taarifa yako.
Nchi itaongozwa na CCM Daima.

VIVA CCM... VIVA JAKAYA

Wewe mkia hebu nyamaza huko, hii ni mojawapo ya mbinu za kishenzi zinazotumika
 
We endelea tu kuleta uzushi na uchochezi wako hapa ukifikiri hilo litakusaidia.

Tena na uende ukahakikishe jina lako katika kituo ulichojiandikisha isije fika siku hiyo ya kupiga kura halafu useme hee mbona jina langu silioni. Maana hamkawii watu kama nyie kwenda mmechelewa halafu mnaanza kuvuta midomo.

Malalamiko na visingizio CCM tumeshavizoea na havikuanza 2015 kwa taarifa yako.
Nchi itaongozwa na CCM Daima.

VIVA CCM... VIVA JAKAYA

CAIN,

No wonder ulimuua ABEL!!!!!!
 
We endelea tu kuleta uzushi na uchochezi wako hapa ukifikiri hilo litakusaidia.

Tena na uende ukahakikishe jina lako katika kituo ulichojiandikisha isije fika siku hiyo ya kupiga kura halafu useme hee mbona jina langu silioni. Maana hamkawii watu kama nyie kwenda mmechelewa halafu mnaanza kuvuta midomo.

Malalamiko na visingizio CCM tumeshavizoea na havikuanza 2015 kwa taarifa yako.
Nchi itaongozwa na CCM Daima.

VIVA CCM... VIVA JAKAYA

Hii arrogance ya ccm ndio itakayowaangamiza. Tangu lini kitu cha binadamu kikawa daima?
 
Safari hii radi haiwezi kupiga mahali palepale marambili...itawala CCM hiyo laivu na watashangaa na masikio yao......
 
Linalokudhulu mtu ni lile usilolitarajia, watu watashinda pale wasipotarajiwa. Hiyo ndiyo true suprise. Siku ikifika imefika!
 
Uzushi kama kawaida yao hawa jamaa waliojiandikisha hapa karibuni. Tunawafahamu, tunawajua. Kama hakuna source au ushahidi tunatupa dustbin. Hiyo ndio JF pamoja na kwamba we dare talk openly, documentation au ushahidi usiotia shaka unatakiwa.
 
Ndugu wanaJF kuna tetesi kwamba NEC kwa kushirikiana na CCM wamebuni njia ya kuchakachukua matokeo (vote riging) kwa kutopeleka vifaa vya kutosha vya kupigia kura kwenye majimbo yote ambao upinzani unakubalika (strongholds). Usalama wa Taifa tayari umewakilisha majina ya majimbo ambayo CCM haikubaliki kwa "kikosi kazi" cha CCM (chini ya Makamba) majimbo yote ambayo mgombea wa CCM hakubaliki.

Tayari Makamba ameshapeleka orodha ya majimbo hayo kwa JK, na JK kwa kushirikiana na baadhi wa watendaji wa NEC (Jaji Lewis Makame hajui mpango huo) tayari wameshaandaa mpango huo wa kupelekaka vifaa pungufu vya upigaji kura ila wananchi wengi wa majimbo haya wasipate haki yao ya msingi ya kupiga kura. Tayari viongozi wa CCM wa wilaya wameshapewa maelekezo wawambie wanachama wa CCM wawahi mapema kwenye vituo vya kupigia kura ili wapige kura zao mapema kabla ya karatasi za kupigia hazijamazika.

Mkakati huo unafanana fanana na ule uliofanyika mwaka 1995 jijini DSM na baadhi ya majimbo ya Zanzibar ambapo mpeleka vifaa alipotea na karatasi za kupigia kura kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni wakati vituo tayari vimefungwa ndipo alipofika kituoni kwa kisingizio eti alipotea.

Sina uhakika kama uongozi wa CHADEMA tayari wameshaupata mpango huu. Mimi nimeelezwa na kada mmoja wa CCM wa ngazi ya juu wa wilaya. Ninaomba mtu yeyote aliyepo karibu na uongozi wa CHADEMA awafikishie huu mpango muovu unaondaliwa kutunyang'anya watanzania haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka.

Haki hupiganiwa, Mungu ibariki Tanzania

hili likitokea basi uchaguzi huu hautakuwa huru na wa haki. Kazi kwe kweli kweli! Yaani vifaa vichache kwenye majimbo yote ambayo thithiem hawana ubavu wa kushinda kwenye majimbo yao kila kitu shwari!
 

Hii arrogance ya ccm ndio itakayowaangamiza. Tangu lini kitu cha binadamu kikawa daima?

Heshina kwako Dingswayo. Unajua watu wengine hawataki kuangalia historia kabisa ya mabadiliko yanayotokea KANU ilikuwa na nguvu sana kenya ila imekuwa chama cha upinzani sana, watanzania wa sasa sii mabwege tena. Mabadiliko ni muhimu.
 
Back
Top Bottom