Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Sheria inasema baada ya kupiga kura wapiga kura wanatakiwa wakae mita 200 kutoka kilipo kituo. Kama wanataka kubadili sheria waitishe kikao cha bunge na wabadilishe sheria lakini kwa hili labda kama wanataka kuua wapiga kura.
Kwa hili tumeshaliweka wazi kwa wapiga kura kwamba sheria walitunga wao na hawawezi kuibadilisha kirejareja kwa kidomo yao tu. Hapa wajue hatutakuwa vituoni mbali na umbali ulioainishwa na sheria na hatutarudi majumbani. We can be a sacrifice on this matter.
Kwa hili tumeshaliweka wazi kwa wapiga kura kwamba sheria walitunga wao na hawawezi kuibadilisha kirejareja kwa kidomo yao tu. Hapa wajue hatutakuwa vituoni mbali na umbali ulioainishwa na sheria na hatutarudi majumbani. We can be a sacrifice on this matter.