meddie
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 434
- 125
Mh Rais,
Tukirejea kwenye kikao cha NEC tuliona angalau hoja za msingi za MH. Lowassa, si kweli kuwa aliyokuwa anafanya Nape na Chiligati dhidi ya Lowassa hujui, tena kuna baraka za mkono wako. Haiwezeakni watu hawa uwliowatuma kufanya kazi uwakane eti kuwa hukuwatuma, tabia ya kutojiamimni na kufanya mambo kwa kujifcha ficha ndo iliyozaa seriakli legelege, si kweli kuwa watu wawili ndani ya CCM ndo wachafu ungekuwa na busara hata wewe ulipaswa kuvuliwa gamba.
Nakubaliana na Lowassa kuwa hakuna alilokuwa anafanya kama waziri mkuu ambalo hujui ni jambo la ajabu na fedheha kuwa mara kadhaa rais anatamka hadharani haijui Richmond/dowans, ni bora kunyamaza kuzungumza kuliko kutoa kauli zisicho na maana kabisa kwa watz.
Tabia ya kufanya kazi kwa tetesi za mitaani hazitaifikisha serikali hii dhaifu kokote.
Nawasilisha
...humu wapo vibaraka wake, embu mpelekeeni hayo maneno kwenye red!