NEC Dodoma, JK akana kumtuma Nape kumwita Lowassa gamba

Mh Rais,

Tukirejea kwenye kikao cha NEC tuliona angalau hoja za msingi za MH. Lowassa, si kweli kuwa aliyokuwa anafanya Nape na Chiligati dhidi ya Lowassa hujui, tena kuna baraka za mkono wako. Haiwezeakni watu hawa uwliowatuma kufanya kazi uwakane eti kuwa hukuwatuma, tabia ya kutojiamimni na kufanya mambo kwa kujifcha ficha ndo iliyozaa seriakli legelege, si kweli kuwa watu wawili ndani ya CCM ndo wachafu ungekuwa na busara hata wewe ulipaswa kuvuliwa gamba.

Nakubaliana na Lowassa kuwa hakuna alilokuwa anafanya kama waziri mkuu ambalo hujui ni jambo la ajabu na fedheha kuwa mara kadhaa rais anatamka hadharani haijui Richmond/dowans, ni bora kunyamaza kuzungumza kuliko kutoa kauli zisicho na maana kabisa kwa watz.

Tabia ya kufanya kazi kwa tetesi za mitaani hazitaifikisha serikali hii dhaifu kokote
.

Nawasilisha

...humu wapo vibaraka wake, embu mpelekeeni hayo maneno kwenye red!
 
CCM ina wenyewe bwana nashangaa Nape naye alitaka kujifanya haujuhi ukweli huu na kibaya zaidi nawahurumia hawa vijana wanaojiita Uvccm hawajuhi kama wao wanatumika kama toilet paper baadae wanapigwa chini,leo wanajiita ccm..vijana wenzangu mtaumia na siasa za kutumika kisha badala ya wezi nyinyi ndo mnaonekana tatizo kwenye chama alafu wezi ndo wanaowaita nyinyi vibaka,amkeni msimame wenyewe,ccm siyo yenu katu

Ng'enda kaja dom hana hili wala lile mwisho wa siku anaambiwa ww ndo gamba,hiyo ndo ccm yao...hii ni kali ya mwaka
 
Contradiction nyingine, JK alisema hajui Richmond, sasa mbona jana hajamwambia Lowasa kuwa yeye hajui Richmond? Mbona hakukana? Je, Dr Slaa alikuwa sahihi kwamba Richmond ni ya JK.
Je, kama Rais ni mwongo, ataongozaje nchi?

sio hio tu tafuta hotuba yake wakati anafunguwa bunge 2005 alipokuwa anaiingiaa madarakani alisema atahakikisha ameongeza ndege air tz ,,,ziko wapi? aaahmuongo kuliko pinda.

nape inabidi achukuwe posho nyingine ya kuzunguka kukanusha alio tuambia
 
lowassa ni kingpin wa ccm the guy is good, m'kwere alidhani akimtishia nyau lowassa atakaa kimya sasa el yuko tayari kufunguka kama hatosafishwa, I want him to be cleared, ccm wote hawafai but el can get the job done on his party.
 
Duh...! Inamaana mdogo wangu Nape mguu ndani ,mguu nje? Lakini kuna somo tunaendelea kujifunza ni kwamba mpaka sasa hii deal ya Richmond tunafahamu asilimia ndogo sana ya ukweli. Ukweli utaendelea kujifunua taratibu!
 
Nape kaingizwa choo cha kike na JK. Sasa njia nyeupe kwa Lowasa kugombea urais 2015, Mungu wetu ni mwema sana yaani CCM imejivika kitanzi yenyewe.Kazi moja tu kuikomboa nchi toka kwenye makucha ya wakoloni weusi CCM.
 
kumbe wale madaktari wa tz hawakukosea walipojisifu wamefanya upasuaji wakamuekea mtoto nazi badala ya kichwa na sasa ni mkubwa!!!
 
Pamoja na kwamba simplification ya mambo mazito huweza kuashiria ufinyu na hata uvivu kifikra, wapo wengi wanao-connect dots zote na 2015. I am not surprised. Kwa hiyo ukiachana na ngoma ya Richmond, ....., na ile kauli ya UVCCM Pwani kwamba Rais wa awamu ya 2015 hatatoka Kaskazini nakimbilia kujiuliza kama matukio kama milipuko ya Mbagala na sokomoko la mgao wa umeme yana mikono ya kundi lolote?
 
lowassa ni kingpin wa ccm the guy is good, m'kwere alidhani akimtishia nyau lowassa atakaa kimya sasa el yuko tayari kufunguka kama hatosafishwa, I want him to be cleared, ccm wote hawafai but el can get the job done on his party.

Goldman,
Dunia ya kutishiana Nyau imeshapita, ndo maana sisi wengine tukaweka ID zetu zote ikiwepo namba za simu na picha wazi. I stand by everything I say or write. Siogopi mtu. Hata hivyo, nikifa kwa kupigania kile ninachokiamini hicho ni kifo chema na chenye manufaa kwangu na jamii yangu - ni mbegu kwa kizazi kijacho. Hata hivyo, naamini mgombea yo yote toka ccm hatufai kabisa kwa sasa kutokana mfumo uliooza bila kujali mgombea huyo ni mzuri au la.
 
As episodes unfold, it clearly seems that there is no any hurdle that might hinder EL from becoming our next president. He is playing his cards extremely intelligently, certainly boosted by the advantage he takes over his fellow magambanians' brainlessness.

The recent attack against JK is timely and effective in clearing his seemingly mud name and will largely serve to restore public confidence in him. In addition, his decision to exploit the clergymen's needs by aiding them and then have their campaign support as a reciprocation is incontrovertably sagacious strategy.
 
Sikuamini macha yangu, nikasoma magazeti mpaka matatu ili nijiaminishe, sasa nimeamini kuwa JK ni msanii wa kutupwa.
Baada ya Lowasa kujitetea kuhusu Richmond na kufanikiwa kumhusisha JK na Richmond, pia alimtuhumu Nape kwa kumchafua yeye ( Lowasa) bila ushahidi, alifuatia waziri mkuu mstaafu Sumaye ambaye pamoja na maelezo mengine ya kumtetea Lowasa alihoji, tuwafanyeje Nape na Chiligati ikiwa kamati ya maadili itamsafisha Lowasa? aliuliza Sumaye.

Hii ni kutokana na kwamba hawa akina Nape wameshazunguka nchi nzima kumchafua Lowasa kama bw Lowasa alivyotuambia. Kitu ambacho sikutegemea,

JK alikadakia kauli ya Sumaye na kusema, watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Sakata hili ni baada ya NEC kukubaliana na pendekezo la CC ya NEC lilisomwa na Pius Msekwa la kuomba suala kujivua gamba lirudishwe ktk kamati ya maadili, hoja ambayo ilipita.

My take,
Mbele ya macho yangu, ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee mwaka 2011, JK akiwa mgeni Rasmi ktk tamasha Nyimbo za Injili alituambia, Nape anayoyazungumza kuhusu gamba siyo maneno yake mwenyewe bali ya ccm - ndiyo kazi tuliyomtuma.
Jana alisema kama ikidhihirika ktk kamati ya maadili kuwa Nape alimtuhumu Lowasa Bila kufuata utaratibu wa chama basi atachukuliwa hatua za kinidhamu.

Ikumbukwe kwamba;

Hoja mojawapo ya Lowasa na Sumaye ni kwamba, kwa nini suala la Lowasa halikupelekwa ktk kamati ya maadili kama ilivyotaratibu za Chama na badala yake Nape akalikimbiza ktk vyombo vya habari?

Pili, Ikimbukwe kuwa ktk maelezo ya Lowasa alisema, Mkiti unakumbuka ukiwa nje ya nchi, nilikupigia kukushauri kuwa tuvunje mkataba wa Richmond, wewe ukasema ngoja tusikie ushauri wa kamati ya makatibu wakuu ambao ndo waliosababisha mkataba usivunjwe?

Tatu, mkiti unafahamu kuwa hakuna jambo nililofanya ambalo sijakushirikisha, kila kitu unajua.
Nne, Lowasa akiwa ameshika hansard ya Bunge aliuliza ripoti ya Richmond haijasema nimehusika, ilisema ninapaswa kuwajibishwa kutokana na makosa ya watendaji walioko chini yangu.

My take 2

Nini hatma ya Nape Ndani ya CCM?
Je, tukisema kuwa ccm imefika mwisho huu utakuwa ni ushabiki wa kisiasa?
Je, Lowasa kufanikiwa kumhusisha JK na Richmond moja kwa moja, JK atapata wapi ujasiri wa kuendeleza zoezi la kuwavua wengine gamba au kupambana na ufisadi.

Je, kama zoezi la uvuaji wa gamba likihitimishwa kwa staili hii, nini kitawafanya watz wasiichague Chadema 2015?
je, hoja ya Chadema ya Ufisadi ambayo waliiparamia sasa si itawabakiza magamba kweli.



Kama sikosei kuna mkubwa mmoja aliwahi kusema hadharani kuwa kujiuzulu kwa Lowassa ilikuwa ni ajali tu ya kisiasa na alieleza kisikitishwa kwake na kujiuzulu huko na kumwagia sifa kuwa ni mchapa kazi.
 
kaka Aweda,uchambuzi wako upo salama
Kamwe ndani ya CCM hakuna mwenye utukufu wa kumnyoshea mkono Lowasa.
Kuna watu mashirika ya kimataifa yameumlika ufisadi wao,Lowasa ni kutokana na Uchunguzi wa kamati ya Mwakyembe,ambayo bado imeacha maswali mengi kuliko majibu.
Mkapa kafanya biashara Ikulu na Ushahidi upo wazi,kwa nini yeye aonekane kuto ichafua CCM mbele ya uso wa Watanzania,kwanini? Lowasa asione kuwa mnamuonea?
Wengine wabnatumia kauli za Nyerere kuhalalisha madhambi ya Lowasa
Vipi Kauli za Nyerere Juu ya Mr Clean Mkapa,ambaye tuliaminishwa na mwalimu lakini akachafua utabiri wamwalimu kwa kuwa mwamba wa ufisadi,Kufanya biashara ikulu.......,RADA,EPA,MIGODINI,KIWIRA nk.
 
Sikuamini macha yangu, nikasoma magazeti mpaka matatu ili nijiaminishe, sasa nimeamini kuwa JK ni msanii wa kutupwa.
Baada ya Lowasa kujitetea kuhusu Richmond na kufanikiwa kumhusisha JK na Richmond, pia alimtuhumu Nape kwa kumchafua yeye ( Lowasa) bila ushahidi, alifuatia waziri mkuu mstaafu Sumaye ambaye pamoja na maelezo mengine ya kumtetea Lowasa alihoji, tuwafanyeje Nape na Chiligati ikiwa kamati ya maadili itamsafisha Lowasa? aliuliza Sumaye.

Hii ni kutokana na kwamba hawa akina Nape wameshazunguka nchi nzima kumchafua Lowasa kama bw Lowasa alivyotuambia. Kitu ambacho sikutegemea,

JK alikadakia kauli ya Sumaye na kusema, watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Sakata hili ni baada ya NEC kukubaliana na pendekezo la CC ya NEC lilisomwa na Pius Msekwa la kuomba suala kujivua gamba lirudishwe ktk kamati ya maadili, hoja ambayo ilipita.

My take,
Mbele ya macho yangu, ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee mwaka 2011, JK akiwa mgeni Rasmi ktk tamasha Nyimbo za Injili alituambia, Nape anayoyazungumza kuhusu gamba siyo maneno yake mwenyewe bali ya ccm - ndiyo kazi tuliyomtuma.
Jana alisema kama ikidhihirika ktk kamati ya maadili kuwa Nape alimtuhumu Lowasa Bila kufuata utaratibu wa chama basi atachukuliwa hatua za kinidhamu.

Ikumbukwe kwamba;

Hoja mojawapo ya Lowasa na Sumaye ni kwamba, kwa nini suala la Lowasa halikupelekwa ktk kamati ya maadili kama ilivyotaratibu za Chama na badala yake Nape akalikimbiza ktk vyombo vya habari?

Pili, Ikimbukwe kuwa ktk maelezo ya Lowasa alisema, Mkiti unakumbuka ukiwa nje ya nchi, nilikupigia kukushauri kuwa tuvunje mkataba wa Richmond, wewe ukasema ngoja tusikie ushauri wa kamati ya makatibu wakuu ambao ndo waliosababisha mkataba usivunjwe?

Tatu, mkiti unafahamu kuwa hakuna jambo nililofanya ambalo sijakushirikisha, kila kitu unajua.
Nne, Lowasa akiwa ameshika hansard ya Bunge aliuliza ripoti ya Richmond haijasema nimehusika, ilisema ninapaswa kuwajibishwa kutokana na makosa ya watendaji walioko chini yangu.

My take 2

Nini hatma ya Nape Ndani ya CCM?
Je, tukisema kuwa ccm imefika mwisho huu utakuwa ni ushabiki wa kisiasa?
Je, Lowasa kufanikiwa kumhusisha JK na Richmond moja kwa moja, JK atapata wapi ujasiri wa kuendeleza zoezi la kuwavua wengine gamba au kupambana na ufisadi.

Je, kama zoezi la uvuaji wa gamba likihitimishwa kwa staili hii, nini kitawafanya watz wasiichague Chadema 2015?
je, hoja ya Chadema ya Ufisadi ambayo waliiparamia sasa si itawabakiza magamba kweli.



Mbona unasound kama a LOWASA sympathiser wakati hapohapo unajiita Mjumbe wa Baraza kuu la CHADEMA?

NAPE ameprove anapiga vita UFISADI kwa nguvu zake zote. Sikatai kuna sehemu kama vyama pinzani anaweza akatoa maneno
yanayokwaza kwa wapinzani. Lakini hili la ufisadi anajaribu kulisimamia kidete.

Mimi nilidhani wapiga vita ufisadi bila kutazama chama bali kwa kutazama maslahi ya taifa mungeungana, kumbe i was wrong.

It seems there are other more important aspects to be considered kuliko MASLAHI KWA TAIFA KWANZA.
 
As episodes unfold, it clearly seems that there is no any hurdle that might hinder EL from becoming our next president. He is playing his cards extremely intelligently, certainly boosted by the advantage he takes over his fellow magambanians' brainlessness.

The recent attack against JK is timely and effective in clearing his seemingly mud name and will largely serve to restore public confidence in him. In addition, his decision to exploit the clergymen's needs by aiding them and then have their campaign support as a reciprocation is incontrovertably sagacious strategy.
We can't allow El kuwa rais coz hataweza kuwawajibisha maswahiba wake pia anaundo wake. Let's think positive and go for a new government ambayo haina vingunge. I would luv to c the likes of Magufuli as president and CDM takin over 60% of parliament seats, itakua imependeza Kama mbwa Kibogoyo. Mtazamo wangu huo wadau
 
Back
Top Bottom