Tofautisha kati ya kesi za madai na za jinai! Kesi za madai, kama hiyo Dkt Slaa vs Daily News, lazima Dkt Slaa alalamike, otherwise tunahesabu "volenti non fit injuria!"
Shule nimeenda na wewe hauko kwenye nafasi ya mahubiri ya elimu.
Kama "Humu watu wanaandika kuhusu kushinda kwa Dr. Slaa kwa sababu wanaona ndo atawafaa kwa Maendeleo yao na Vizazi vyao" basi na huyo Mhariri wa gazeti la serikali anaona vengine kwa maoni yake na ndiyo maana hayo yote yameandikwa kwenye column ya "Maoni ya Mhariri". Tatizo lako liko wapi? Au lazima kila mtu akubaliane na hayo mnayoyaandika na mnayoyaona kwa maoni yenu? Kwanini mtu asiwe na maoni tofauti na nyie?
Wapi umesikia kuwa whistle blower ni sifa ya kuwa kiongozi mzuri?
K,
Kutoa maoni sio mbaya. Tatizo ni forum aliyotumia. Daily News ni mali ya serikali, serikali inayoendeshwa na walipa kodi; walipa kodi wanajumuishwa na wapinzani pia. Sisi issues tulizonazo ni forum aliyotumia. Gazeti au chombo chochote cha serkali kinapaswa kuendeshwa bila biasness maana baada ya uchaguzi chama kitakachoshinda kitaendesha hiyo hiyo serkali.
Mkuu nakushangaa sana, tena ilizingatiwa umetueleza kuwa shule umeenda halafu huoni huu utofauti!!!! Labda tafsiri ya kwenda shule uliyo nayo si sawa na std definition!! uuh?
Ukweli ni kuwa Daily news limechemsha na NEC ilipaswa kulionya maana halipaswi kuwa na upande wowote!!!
Got this?
nadhani sheria ndio inataka hivyo