TANZIA Julius Ishengoma Ndyanabo afariki dunia

Ndyanabo ninayemfahamu hakuwa mojawapo ya vyama tajwa hapo juu. RIP Ndyanabo!

Kwa mara ya mwisho nilionana naye mwaka 1996 baada ya yeye kushindwa kumbwaga Rwegasira (CCM) wakati yeye akigombea jimbo la Nkenge linaloongozwa na Mbunge D. Kamala (sijui kama bado linaitwa hivyo) huku yeye marehemu akigombea kwa tiketi ya NCCR Mageuzi.

Nimetoa ufafanuzi mdogo huo kumwonesha GT kuwa huyu alikuwa nani, na wengine ambao hawakujua huyu alikuwa nani...

Invisible ahsante kwa hiyo tidbit ya political bio ya Marehemu. Apumzike kwa amani, na wafiwa wapate nguvu katika kipindi hiki kigumu sana na siku zote. Poleni sana.

Unajua Mleta taarifa, Ndugu John Mnyika, hakutaja hata jina la Marehemu. Ndio maana kulikuwa na sababu ya wengine kutaka kujua zaidi, kama mfano kutaka kujua kama ana political profile yeyote, hasa ukizingatia kwamba mleta habari ni kiongozi wa Taifa wa chama cha siasa. Ni hilo tu, na hawa viongozi wajue jinsi ya kutoa public statements. Nakumbuka mapema mwaka huu walipofariki watoto wa Mbunge kwenye ajali Dodoma Kiongozi wa Upinzani Bungeni alitoa ka statement kamoja kako very crummy. Hakakutaja hata ni Mbunge wa wapi kafiwa. Halafu akawashukuru viongozi na Wabunge waliosafiri kwenda eneo la ajali kulinda mali za marehemu!

Ahsante tena kwa kutupa snipets za political profile ya marehemu. Wafiwa poleni sana.
 
Ni pigo kwa demokrasia iliyo makini.Atakumbukwa kwa kuwa mkweli daima katika kutenda na kuona haki inatendeka
 
Well, ni Julius Ishengoma Ndyanabo. Mojawapo ya kesi unazoweza kusoma ni hii hapa:

Ndyanabo v Attorney General (Civil Appeal No. 64 of 2001) [2002] TZCA 2 (14 February 2002)

Invisible, yani sijui umejuaje nilikuwa nataka kujua matokeo ya hiyo kesi ya Marehemu ambayo John Mnyika ameigusia kijuu juu. Ahsante sana Mkuu, nimetoka kuisoma, yani ni bonge moja la kesi ya haki, uchaguzi, na Katiba. I hope the government wameifuta hiyo sheria maana huwa wanadharau matokea ya kushindwa mahakamani.

Naona tumepoteza kinara wa demokrasia na haki katika Julius Ndyanabo. Alale kwa amani.
 
Invisible, yani sijui umejuaje nilikuwa nataka kujua matokeo ya hiyo kesi ya Marehemu ambayo John Mnyika ameigusia kijuu juu. Ahsante sana Mkuu, nimetoka kuisoma, yani ni bonge moja la kesi ya haki, uchaguzi, na Katiba. I hope the government wameifuta hiyo sheria maana huwa wanadharau matokea ya kushindwa mahakamani.

Naona tumepoteza kinara wa demokrasia na haki katika Julius Ndyanabo. Alale kwa amani.

bila Bunge kuibadilisha sheria hiyo, hiyo sheria bado ipo as far as I know.
 
RIP Bro Ndyanabo..... Poleni wanafamilia, ndugu jamaa na marafiki!!

Bwana alitoa naye ametwaa, Jina Lake lihimidiwe!!
 
mwenyezi mungu aliyemuumba wakili julius ndyanabo hatimaye amemrudisha kwake.

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe (ayubu 1:21). Amen.

Ninamkumbuka alikuwa jirani yangu pale sinza (karibu na namnani hoteli)

poleni sana mke, watoto, pamoja na ndugu wote ambao msiba huu unawahusu.

Raha ya milele umpe ee mungu muumba, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani. Amen.

rip ndyanabo
 
Invisible ahsante kwa hiyo tidbit ya political bio ya Marehemu. Apumzike kwa amani, na wafiwa wapate nguvu katika kipindi hiki kigumu sana na siku zote. Poleni sana.

Unajua Mleta taarifa, Ndugu John Mnyika, hakutaja hata jina la Marehemu. Ndio maana kulikuwa na sababu ya wengine kutaka kujua zaidi, kama mfano kutaka kujua kama ana political profile yeyote, hasa ukizingatia kwamba mleta habari ni kiongozi wa Taifa wa chama cha siasa. Ni hilo tu, na hawa viongozi wajue jinsi ya kutoa public statements. Nakumbuka mapema mwaka huu walipofariki watoto wa Mbunge kwenye ajali Dodoma Kiongozi wa Upinzani Bungeni alitoa ka statement kamoja kako very crummy. Hakakutaja hata ni Mbunge wa wapi kafiwa. Halafu akawashukuru viongozi na Wabunge waliosafiri kwenda eneo la ajali kulinda mali za marehemu!

Ahsante tena kwa kutupa snipets za political profile ya marehemu. Wafiwa poleni sana.

RIP Ndyanabo!
Utakumbukwa kwa harakati zako za masuala ya siasa toka chuo kikuu na HASA kampeni zako za kutisha ulipokuwa ukigombea nafasi DARUSO. Wengi watakukumbuka zaidi pale ulipojitosa katika medani ya siasa na kugombea ubunge.Umeacha alama ya kudumu katika taaluma ya sheria kwa ushupavu wako katika kazi yako ya uwakili . Ucheshi wako hautasahaulika kirahisi.
Mungu akupe raha ya milele na awape ujasiri familia uliyoiacha nyuma.- hasa wanao uliowapenda sana.
Amen!
 
Nimesikitishwa sana na kifo cha wakili Julius Ndyanabo. Sihitaji kujua kama alikuwa CHADEMA ama CCM. Cha msingi ni kwamba alipigania haki za wanyonge. Kwa kuwa Bwana ameamua atutangulie kulala, tumshukuru tu yeye anayejua majira na nyakati na anayejua wakati gani ulio bora kwa kila mtu kulala.
 

Attachments

  • Mwigamba.pdf
    79.6 KB · Views: 78
ndyanabo.jpg


Asante Mwigamba kwa hiyo picha
 
ndyanabo.jpg


Asante Mwigamba kwa hiyo picha

Mwanakijiji,

Hii picha ni ya mwaka gani? maana mimi Julius Ndyanabo ninayemfahamu alikuwa mtu wa miraba minne na alikuwa na ofisi zake pale jirani na kituo cha mabasi ya Uda cha stesheni!

By the way to add twist, alikuwa wakili wetu Yanga (Young Affrican Sports Club)!
 
Another twist, he was a lawyer representing VIP company of James Rugemalira the man behind IPTL saga.
 
Back
Top Bottom