TANZIA Julius Ishengoma Ndyanabo afariki dunia

naye alikuwa CHADEMA au CCM?
Ndyanabo ninayemfahamu hakuwa mojawapo ya vyama tajwa hapo juu. RIP Ndyanabo!

Kwa mara ya mwisho nilionana naye mwaka 1996 baada ya yeye kushindwa kumbwaga Rwegasira (CCM) wakati yeye akigombea jimbo la Nkenge linaloongozwa na Mbunge D. Kamala (sijui kama bado linaitwa hivyo) huku yeye marehemu akigombea kwa tiketi ya NCCR Mageuzi.

Nimetoa ufafanuzi mdogo huo kumwonesha GT kuwa huyu alikuwa nani, na wengine ambao hawakujua huyu alikuwa nani...
 
Msiba huu ni wetu sote, tunaiombea faraja na amani familia ya marehemu katika wakati huu mgumu kwao. Amen
 
msiba uko wapi jamani au ameshazikwa alikuwa br wangu wa karibu nikasafiri kubeba mabox niliporudi nkakuta amehama!!!jamani mungu amlaze pema peponi
 
jamani wengine huwa hamjui uchungu wa kufiwa? Hayo tutauliza baadae, tuonyeshe walau utu kabla ya kujua yu upande wetu au la.
__________________

mkuu kinyau

uwasamehe maana hawajui walitendalo!!!!!
 
Ndyanabo ninayemfahamu hakuwa mojawapo ya vyama tajwa hapo juu. RIP Ndyanabo!

Kwa mara ya mwisho nilionana naye mwaka 1996 baada ya yeye kushindwa kumbwaga Rwegasira (CCM) wakati yeye akigombea jimbo la Nkenge linaloongozwa na Mbunge D. Kamala (sijui kama bado linaitwa hivyo) huku yeye marehemu akigombea kwa tiketi ya NCCR Mageuzi.

Nimetoa ufafanuzi mdogo huo kumwonesha GT kuwa huyu alikuwa nani, na wengine ambao hawakujua huyu alikuwa nani...

Very simple...kuliko kuendeleza Ligi isiyokwisha...Mtu akija na ushabiki, ukimuweka sawa atakaa Kimya....nawe ukija na ushabiki..basi ligi hapo itaendelea....Thanks invisible!!!
 
Poleni wafiwa.............Mzee wa Twist AKA Mwanakijiji namuona kashaandaa suti yake na buga lake tayari kwa twist........GT kaishiwa Utanzania kakaa sana na wazungu
 
RIP Ndyanabo,
ni habari imeniskitisha sana, nikikumbuka alivyonisaidia kupata haki yangu kutoka kwa kiongozi fulani. Nakumbuka siku hiyo alivyoendeshana na RPC mstaafu, nilikuwa na wasiwasi vibaya mno. Nakumbuka maneno yake "Kijana katika HAKI lazima uwe mkali......"
 
Poleni Wanafamilia, TLS na wapenda haki wote. Msiba uko wapi hapa Dar?
Natumaini watampeleka Kagera kwa mazishi. Siku hizi mtindo wa kuzikana hapa Dar umeshamiri kwelikweli wakati maeneo ya kuzikana ni haba sana.
 
Ndyanabo ninayemfahamu hakuwa mojawapo ya vyama tajwa hapo juu. RIP Ndyanabo!

Kwa mara ya mwisho nilionana naye mwaka 1996 baada ya yeye kushindwa kumbwaga Rwegasira (CCM) wakati yeye akigombea jimbo la Nkenge linaloongozwa na Mbunge D. Kamala (sijui kama bado linaitwa hivyo) huku yeye marehemu akigombea kwa tiketi ya NCCR Mageuzi.

Nimetoa ufafanuzi mdogo huo kumwonesha GT kuwa huyu alikuwa nani, na wengine ambao hawakujua huyu alikuwa nani...

Alijaribu kugombea tena hukohuko Nkenge mwaka 2000 kuitia CUF akashindwa kwa mizengwe na Dr. Kamala.

R.I.P. Julius Ndyanabo!
 
Rest in peace Ndyanabo,he was a good man,i remember he took up a case of a poor woman wrongly accused of robbery just because she was at the wrong place/wrong time free of charge and was attending court for 2yrs until she was freed.You can compare that with IMMA advocates who will not take a case until you deposit a million first.
 
Ndyanabo Pumzika na tutakukumbuka sana .Ulipigania haki na Elimu yako sote tunajua ilikuwa kwa ajili ya walala hoi .Ulismama Mahakamani bila ya malipo yeyote kutetea walala hoi .Upumzike kwa Amani .
 
Mwenyezi Mungu aliyemuumba Wakili Julius Ndyanabo hatimaye amemrudisha kwake.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe (Ayubu 1:21). Amen.

Ninamkumbuka alikuwa jirani yangu pale sinza (karibu na Namnani hoteli)

Poleni sana Mke, watoto, pamoja na ndugu wote ambao msiba huu unawahusu.

Raha ya Milele umpe Ee Mungu Muumba, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani. Amen.

Kumbe majirani wa marehemu tuko wengi humu. Mungu amlaze mahali pema peponi.
 
Back
Top Bottom