swali ninalojiuliza, je magavana kabla ya marehemu balali k.m. mzee mtei, marehemu rutihinda nk, nao walifanya madudu kama haya?
Rutihinda aliunguza jumba according to wazee wa mji wa Dar wanasema moto huo ulikuwa ni kuunguza document za mzee Ali Hassan Mwinyi na link ya biashara za pembe ya ndovu ikimuunganisha yeye, diria na Said Bakhressa (Sina facts but ni stori inazunguka sana mjini).