newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Neno NDULI ,nimelisikia kwa mara ya kwanza ktk hotuba za mwl,Nyerere ,kwa kumtaja adui wa taifa kwa wakati ule.
Nduli idi Amini wa uganda.
hivi hili neno maana yake hasa ni nini?je ni neno la kiswahili au kizanaki.
mimi nashauri tuachane na neno fisadi tukimaanisha maadui wa taifa na uchumi wetu,
ITs time we call mafisadi kwa maneno makali na yenye kuvuta hisia halisi za enzi ya mwalimu
Eg, NDULI ....
NDULI ......
Nduli idi Amini wa uganda.
hivi hili neno maana yake hasa ni nini?je ni neno la kiswahili au kizanaki.
mimi nashauri tuachane na neno fisadi tukimaanisha maadui wa taifa na uchumi wetu,
ITs time we call mafisadi kwa maneno makali na yenye kuvuta hisia halisi za enzi ya mwalimu
Eg, NDULI ....
NDULI ......