Nothing4good
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 180
- 55
- Thread starter
- #21
Kama wadau walivyosema hapo juu, huyo dada kuna mahali alicheza karata zake vibaya (miscalculations). Ila bado ana nafasi.
Hivi kweli mtu anakuwa tayari amekaa kwenye ndoa na bado ana miaka 22 ina maana aliolewa akingari mtoto? Kwa nini wasichana wanafanya makosa makubwa namna hiyo? Tena si ajabu mume anamzidi kama miaka 10 hivi? Kwa maana nyingine msichana asiyejua maisha anaoelewa na jamaa ambaye tayari kamaliza mizinguko yoote ya majaribio!!
Hivi akina dada wanadhani ndoa ni mbio za marathoni kwama ukishinda unapata gold medal?
tatizo ni nyie wanaume unajua sana kudanganya watoto wa wa2 et unakuta mwanaume anakumbia huna haja ya kusoma mimi ninahela nitakufungulia biashara msichana ataacha kudanganyika kweli ukizingatia kusoma kulivyo kugumu