Ndugu zake wakamuuaa!!!

FuturePresident

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
321
54
Mzungu mmoja alifika benki na nyani wake,akaenda kumfunga sehemu walipokuwa wamekaa kikundi cha waafrika akawaambia "Embu mchungeni ndugu yenu huyu",na yeye akaingia benki.


Wale waafrika wakachukia kuambiwa wana undugu na nyani wakamuua yule nyani. Aliporudi kumkuta nyani wake kafa akapanic kwa hasira na kuanza kuuliza aliyemuua nyani wake.


Wakamjibu "Hayo ni mambo ya kifamilia hayakuhusu". HA,HA,HA,HA!!!!!!
 
Namlia WA KUSOMA, amekosa mengi humu na sikuku u hizi. Lawama ziwaendee waliomkorofisha wote mpaka akaamua kuomba bann mwenyewe.
 
Badili ya kumuuwa mzungu aliyewatukana wameenda kumuuwa ndugu yao? hao ndio kweli wajinga na mzungu hajakosea alipowaambia ndugu zao nyani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom