S Sagaurafaur New Member Apr 2, 2012 1 0 Apr 2, 2012 #41 Ni kwamba CDM kinaweza kushika dola 2015,watanzania tukipe ridhaa wakati ukifika.
Bee hive Senior Member Feb 22, 2012 146 54 Apr 2, 2012 #42 Chama tawala kiache bla bla, na wananchi si midoli/ wanasesere!!
T timbilimu JF-Expert Member Sep 2, 2010 4,866 1,518 Apr 3, 2012 #43 Kwamba kizazi kipya cha wanasiasa vijana kimeanza kuchomoza kwa kasi. Wale waliokua wanasubiri wastaafu serikalini wakimbilie ktk siasa wasahau!
Kwamba kizazi kipya cha wanasiasa vijana kimeanza kuchomoza kwa kasi. Wale waliokua wanasubiri wastaafu serikalini wakimbilie ktk siasa wasahau!