Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Wewe raia na Mkristu kinachokuwasha kipi ikiwa Waislaam wanaandamana kuishinikiza serikali kuwaacha huru watu wake?. Ni wapi uliwahi kuona kibali kinatolewa kwa watu wanaitaka serikali kuwaachia huru wafungwa?. Hivi unaweza kunambia waandishi wa habari wanaweza kuomba kibali kulaani kifo cha mwandishi mwenzao?..
Mkuu wangu hujui Harakati za Waislaam na pengine mngejua tusingekuwa tukitawaliwa na CCM hadi leo. I thought nilikuwa Chadema the right party kinachopigania haki za wananchi wake, sasa naanza kufikiria tofauti.
Mkuu Mkandara heshima mbele...
wewe ni mmoja kati ya watu ninaoheshimu michango yao hapa JF.
Kwa heshima ulionayo please nakuomba uachane na huu mjadala.
Migongano ya kidini ni hatari sana Kaka.
Plz nakusihi Kaka.