Mkuu TISS ni pana sana,kuna maswali yakuulizwa Msangi na maswali ya kuulizwa ndugu zake msangi!tiss wanatafuta ni wakubwa gani wako nyuma ya sakata????...very interesting...kwa nini wasimuulize msangi??
Mkuu TISS ni pana sana,kuna maswali yakuulizwa Msangi na maswali ya kuulizwa ndugu zake msangi!
Ndugu zake waache kutapatapa.Msangi ni mtu mzima mwenye akili timamu.hata kama alipata order kutoka kwa wakubwa zake haikuwa sababu ya yeye kufanya unyama alio ufanya.Mungu hatamsamehe kwakuwa tu alitumwa na wakubwa zake.he knows right and wrong.alikuwa na uwezo wa kukataa.Mungu alivyomkubwa hatawaachia waliotenda kosa lile.Wataadhibiwa hapahapa duniani,mmoja baada ya mwingine.Hakuna msalie Mtume hapo.Nawatakia members wote Heri na Fanaka za mwaka mpya.Mungu awajalie wote afya njema na kuzidi kusikiliza maombi yenu kila mmoja kwa kadri ya mahitaji yenu na Mungu aibariki nchi yetu nzuri Tanzania na ambariki kila mwenye nia njema na nchi yetu.Be blessed!Episode ya ngapi? nimesahau..........Ina maana sterling hajulikani aliko au kubwa la maadui limechakachua movie!!!!!!!
Msangi si yule aliyewaita wafuasi wa CDM panya mahakamani kwenye kesi ya Lema Arusha.