jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,513
Eti anasema "kwa akili ya kawaida hawezi kwenda kumteka,halafu baadaye aje kumuhoji",nani kasema polisi wa magamba wana akili za kawaida?
Inajulikana kuwa yeye ni mze wa torture,anaweza kutuambia ni akili gani huwa anatumia?
Ujinga huu wa kuingiza kila kitu kwenye siasa, je huu ni uhalifu wa kisiasa,maana naona watu wamegawanyika kivyama...Kama hyo Kim Kardhashian,unahitaji akili ama utafutiwe humu Kanye West wako itakusaidia...
Inajulikana kuwa yeye ni mze wa torture,anaweza kutuambia ni akili gani huwa anatumia?
Ujinga huu wa kuingiza kila kitu kwenye siasa, je huu ni uhalifu wa kisiasa,maana naona watu wamegawanyika kivyama...Kama hyo Kim Kardhashian,unahitaji akili ama utafutiwe humu Kanye West wako itakusaidia...