samvande2002
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 413
- 34
anatafuta kuingia kwenye records za guines kuwa ni rais wa kwanza kutumia muda wake mwingi nje ya nchi yake na kutumia muda kiduchu sana kukaa ikulu ya nchi yake na kusolve matatizo ya nchi yake, pia ni rais anayependa sana promo kuliko marais wote waliopata kutokea duniani!