Ndugu Mtanzania: Je unajua hili?

MM Mwanakijiji,

Jibu unalo Mwanakijiji! Kujua kwetu ni kuamsha "Cheche" za fikra na siku moja kuchukua hatua-hata kama ikiwa kuchukua sheria mikononi kwetu. At worst, it will be on the record for the future generation-who can not forever be put down by the perpetrators.

Nchi nyingi zilizoendelea,EUROPE AND EVERYWHERE.haki ilipatikana baada ya kumwaga damu nyingi!na wanaokula matunda ya hiyo damu ni uzao uliofuata!

Sasa mimi pia nimeshawishika sana kuamini solution ambayo mkuu ameitoa,'the bolded one'
 
Nchi nyingi zilizoendelea,EUROPE AND EVERYWHERE.haki ilipatikana baada ya kumwaga damu nyingi!na wanaokula matunda ya hiyo damu ni uzao uliofuata!

Sasa mimi pia nimeshawishika sana kuamini solution ambayo mkuu ameitoa,'the bolded one'
Au tunaweza kuamua kurudi nyuma na kuanza upya kupitia hatua tano za maendeleo-kuanzia ujima.
Wakati wenzetu wameopitia hatua zote, sisi tulitoka kwenue ujima tukatawaliwa na baadaye kufikia ujamaa. na ndio maana hata leo hatujui tupo wapi, kwenye ujamaa, upebari au mfumo gani sijui yarabi!!!
 
Nchi nyingi zilizoendelea,EUROPE AND EVERYWHERE.haki ilipatikana baada ya kumwaga damu nyingi!na wanaokula matunda ya hiyo damu ni uzao uliofuata!

Sasa mimi pia nimeshawishika sana kuamini solution ambayo mkuu ameitoa,'the bolded one'

Kumwaga damu si suluhisho la uongozi mbovu; ukishamwaga damu mara moja hukomi. Ndio maana taifa kama Marekani lililozaliwa kwa umwagaji damu halioni kazi kubwa kumwaga damu. Kenya walimwaga damu na bado wakati wowote wanaweza kumwaga damu.. Zanzibar damu ilishawahi kumwagika kabla ya mapinduzi ya 1964 matokeo yake.. ni rahisi sana kujirudia; Urusi vivyo hivyo.. Pakistani/India vivyo hivyo..

Nenda Iraq ni hivyo hivyo...

Umwagaji damu ni mbegu ya umwagaji damu mwingine. Njia ya uhakika ya kuleta mabadiliko ni kushinda hoja dhaifu kwa hoja zenye nguvu, kuamsha fikra za mwamko mpya wa kitaifa na kuchagua njia iliyo bora zaidi. Njia ya nchi kama Uswisi, Norway, Denmark, na chache nyingine.

Tanzania ni nchi pekee ambayo katika Afrika ilizaliwa kutoka kwenye wazo (idea). Bahati mbaya sana idea hiyo tumeikana tukiamini kuna njia bora zaidi. Ni lazima kurudi kwenye ile idea which was and still is a Tanzanian Experiment. It is an experiment that we have abandoned and now we see its ugly results.

Unless we return to the very foundations of our republic we will continue to dance the ukutiukuti of leadership and be cast all over in the wave of uncertainty. Unless we challenge our rulers, expose their weakness (political, intellectual and ideological as well as systematic) we will continue to elect the same failed leaders hoping next time they'll get it right.

Yes.. we can!
 
MMKJ,
Acha tu tuendelee kujua, na tuendelee kujulishana. Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, ndo maana "wao" wanatumia advantage ya watu wengi (hasa wa vijijini) kutokujua kufanya wanavyotaka wakijua bado wana nguvu. Tujulishane, leo akijua mmoja kesho atajua mwingine, na hatimaye sote tutajua na kusema enough is enough.
 
Meremeta wakawaka? Lipualipua, my guess is arms trade-gold-money laundry connexiooon well naisubiri ripoti ya tume ya mjj for $vijisenti......
 
kama mnakumbuka Waziri Mkuu alisema suala la Meremeta haliwezi kujadiliwa hadharani. Sisi (Cheche) tumeamua kuliweka hadharani. Sasa hapa tunapima kwanza legal ramifications za kitendo chetu hicho ambacho kimsingi kinaendana na dhana muhimu katika nchi ya kidemokrasia yaani public intergrity.

Kwa vyovyote vile ilivyo by the end of next week.. kila kitu kitakuwa kimekamilika; yaani, njia ya malipo, delivery, conditions za mtu kupatia (siyo kwa sababu mtu amelipa tumehamisha haki zetu kwake)n.k Na kubwa zaidi ni la kuhakikisha kuwa kutokana na kazi ngumu timu yetu imefanya ili kulijulisha taifa "uozo wa hatari" wa siri hii watu wengine wasije kuanza kuchapa na kusambaza kana kwamba ni za kwao. Hivyo.. hii report kama zile mbili za nyuma (On Tanzania's Role's in Arms Trafficking and Open Letter to the British Gvt that was partly read in the House of Commons) zitakuwa zinalindwa na Haki Miliki.

Sisi wenyewe tuko matumbo joto... pressure inapanda, pressure inashuka.. kijasho chatiririka..

Ni uzalendo na upendo kwa nchi yako ndilo pekee linaloweza kusukuma haya. Tunahitaji kujua zaidi na kuchukua fursa ya kufahamu na kuwafahamisha wengine. Wengi wetu tumekuwa wahanga wa kutokufahamu.
Tunafahamu kuwa bado kazi ni kubwa na ngumu, Tutaendelea pia kuomba kwa ajili yako!
 
Kumwaga damu si suluhisho la uongozi mbovu; ukishamwaga damu mara moja hukomi. Ndio maana taifa kama Marekani lililozaliwa kwa umwagaji damu halioni kazi kubwa kumwaga damu. Kenya walimwaga damu na bado wakati wowote wanaweza kumwaga damu.. Zanzibar damu ilishawahi kumwagika kabla ya mapinduzi ya 1964 matokeo yake.. ni rahisi sana kujirudia; Urusi vivyo hivyo.. Pakistani/India vivyo hivyo..

Nenda Iraq ni hivyo hivyo... !

............but,at least corruption is taken care!...or minimised!

Njia ya uhakika ya kuleta mabadiliko ni kushinda hoja dhaifu kwa hoja zenye nguvu, kuamsha fikra za mwamko mpya wa kitaifa na kuchagua njia iliyo bora zaidi. Njia ya nchi kama Uswisi, Norway, Denmark, na chache nyingine.!
............NOT UNTIL WE ELIMINATE CCM INTO POWER!kani and according to me,sisiemu haiondolewi madarakani DIPLOMATICALLY!angalia namna wanavyotumia mabavu kushinda chaguzi ndogo!NO WAY BWANA

Tanzania ni nchi pekee ambayo katika Afrika ilizaliwa kutoka kwenye wazo (idea). Bahati mbaya sana idea hiyo tumeikana tukiamini kuna njia bora zaidi. Ni lazima kurudi kwenye ile idea which was and still is a Tanzanian Experiment. It is an experiment that we have abandoned and now we see its ugly results.

Unless we return to the very foundations of our republic we will continue to dance the ukutiukuti of leadership and be cast all over in the wave of uncertainty. Unless we challenge our rulers, expose their weakness (political, intellectual and ideological as well as systematic) we will continue to elect the same failed leaders hoping next time they'll get it right.!
mwanakijiji i would like to have clarifications on this idea,please!naona kama umeniacha njia panda

Yes.. we can!
practically WE CANNOT!as long as ccm will remain into power
 
Does this article explain why we have all these problems??!!!


Sunday, November 05, 2006
IQ and Africa
At the London School of Economic Satoshi Kanazawa, an evolutionary psychologist, is in trouble over his conclusion that low IQ, not poverty or disease, is the primary cause of Africa's problems. In Ethiopia, for example, the average IQ is 63 and life expectancies are in the mid-forties. People are upset about this because it seems racist and threatens to revive the idea of eugenics. In fact, Kanazawa's research is a) almost certainly true and b) unremarkable. I wrote about this subject some years ago - see Selected Articles - and came across the Flynn Effect. This was the discovery by James Flynn that IQ in the developed world seemed to be rising at the rate of 10 points per generation. Flynn had simply given old intelligence tests to new children. His results showed that an average child in 1918 had an IQ of 85 or lower, whereas an average contemporary child would have an IQ of 100 or higher. But this did not really mean that within a few years we would be bumping into waves of Aristotles, Kants and Newtons on the street. It meant that the results of IQ tests are linked to educational and cultural factors. The children who tooks the tests in 1918 would have been found to have an average of around 100, since that is the average the tests are designed to produce. If that is the case, then, as I say, Kanazawa's findings are unremarkable, indeed entirely predictable. IQ is not an absolute measurement, true at all times in all places. It is culturally determined; it measures the ability of an individual to function within the culture that is setting the test. In these terms, it is an amazingly accurate indicator of success in life for inhabitants of the rich nations. Conversely, an entirely African IQ test would probably show Africans were the most intelligent people in the world. But the real point is that the rich world's idea of intelligence is, for the moment, the most effective at delivering goods like education, health and wealth. Africans needs these. If they get them, then, in time, their IQs would rise to the levels seen in the developed world. It is supremely improbable that a phenomenon as complex and diverse as intelligence is determined by race to any significant degree. All of which should not entirely allay the fears of the politically correct left. For, if Africa is locked in low IQ misery from which it can only be rescued by institutional and educational systems developed by the high IQ nations, then a new colonialism would seem to be the most rational and humane response.

Read more - comments follow

Thought Experiments : The Blog: IQ and Africa
 
Hebu tujikumbushe maswali haya:

Hili la Meremeta kwa mfano hivi likishatoka na kuwekwa hadharani na kuanikwa juani kama mahindi ya kukobolewa ambayo harufu yake hupeperushwa kwenda mbali na upepo wenye vumbi na watu wakajua halafu kitakuwa nini? Kama wabunge waliamua kutokujua na Spika akakubali wasijue na Waziri Mkuu na Sumari wote wakihakikisha watu hawajui sasa sisi tukilifanya lijulikane tunafanya hivyo kwa faida gani?
 
:mad:maisha ya watanzania miaka ijayo yatakuwa mazuri sana kwa wale wa hali ya chini , ila yatakuwa mabaya sana kwa wale wa hali ya juu ,kwanini nasema hivyo kwavile wananchi wanaelewa hata wale na songomkole nini ufisadi,wapi upo na nani anahusika hata wale waliokuwa na mategemeo ya kufanya ufisadi sasa wataogopa kama naniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinae yumo mimijjjjeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee??????????????????
 
These rulers have created a little paradise on earth, the problem is that, we have allowed them to consume our wealth, we are the ones who are capable of saying NO! ENOUGH IS ENOUGH! lets stand for our better tommorow, knowing is not enough but the second step is of paramount importance i.e. lets stand and vote them out!

'knowledge is power' as majority of Tanzanians are being informed/put to light - of what their government is doing, one day these emperors will be put out of power by the voice of committed Tanzanians!

The problem is, most of the poverty stricken population resides in rural areas where these emperors go with 'sweet' promises and share with them some petty things in exchange of their golds and other valuable resources - the colonial techniques of those years!

This is the big challange, this blog and other media dont reach the potential people whose votes/voice are of great value. how many Tanzanians have access to internet/email or newspaper?

Our people dont know as we know - Lets take the responsibility



wisher
 
hii ni hatari sana bora niendelee kuwa sijui ili nisiumie, nakuhurumia sana Mzee mwanakijiji kwa kujua mengi
 
mwenyewe nahitaji kujua undani wa meremeta..walau na sie tumeremete kichwani kuifahamu meremeta kiundani.....
 
Mi nadhani tumeshajua ila hatujajua wengi wa kutosha kuweza kufanya mabadiliko na ndio maana hawatishiki sana. Wanajua wanaojua wote ni wenye uwezo wa kupata internate. Je ni asilimia ngapi ya watanzania wana uwezo wa kupata hiyo huduma kama si chini ya 1%. Sasa umefika wakati tuwafikie na walio vijijini kwa njia nyingine bora na madhubuti zaidi kuliko kuishia kwenye internate. Ndio maana wamefika kipindi hawatishiki tena wanajua tunajua lakini hatuwatishi. Tunaojua ni idadi sawa na wao wanaotenda sasa sisi ni wanafiki na wenye wivu kama tulivyowahi kutuita kipindi fulani hapo nyuma.
Kinachotakiwa sasa ni kuanzisha vuguvugu la kitaifa kama kipindi kile tulipodai uhuru wetu kutoka kwa wakoloni weupe. Hawa ni sawa na wale wakoloni tuliowafukuza miaka ya 60 tofauti ni rangi tu. Hawataondoka kwenye huo ulaji wao mpaka tuwe na nia thabiti ya kuwaondoa ala sivyo tutaonekana mabwege kila kukicha.
Sasa hapa nataka tufanye hivi..... ripoti kama za meremeta hazipaswi kuishia kwenye mitandao tu ya internate. Zichapishwe zigawanywe kwa wananchi kila mmoja ajue nini kinachofanyika. Hapa sisemi tunahitaji kufanya hivyo kwa kujificha hapana tuyafanye kwa dhahiri kabisa na wajue tuyafanyayo. Hizo nakala zinaweza kuuzwa kwa bei ambayo mtanzania wa kawaida kabisa anaweza kuinunua.
Jamani tukumbuke kwamba hatuhitaji watanzania milioni 40 kuanza hizi pirikapirika kwa pomoja. Tuanze sisi mia wenye nia baadae tukawawezesha na wenzetu. Ila tukitaka sisi mia tupambane na wao mia hatuwezi wenyewe wana na vya ziada tutaishia kujua then roho zitueme halafu tuzoee.
Ni wakati sasa wa mapambano ya dhati kabisa.
Naomba wenye nia hasa watoe mwelekeo nini kifanyeje tuweze kutenda kwa tunayoyajua na wala tusiwafiche tumechoka jamani.
 
Ni ishara nzuri ya mwamko kwa taifa letu,lakini hatuna haja ya kuumiza vichwa sana,kwani mungu ana makusudi makubwa kwa yote yanayotokea ,mungu anatufundisha kwa mifano kuhusu viongozi wetu LAKINI MUNGU HUYU HUYU HAWEZI KULIACHA TAIFA HILI LITEKETEE,watanzania lazima tuamini kuwa viongozi bora kushinda nyerere wapo sana na watashika nchi hii kwa mafanikio makubwa sana kwa sasa tuache utawala wa kushoto uendelee lakini amiini nawaambia mwisho kwa utawala huu ni mbaya sana kwa hapa duniani na hata huku mbinguni
 
Tanzania inakwenda wapi? naogopa

ndugu mahiya tanzania haiendi ,tunaipeleka sisi wenyewe kwa kuendelea kuwachagua walewale wanaoturpeleka huko tusikotaka iende,kama hatupendi kwenda huko tunakoelekea tuwabadilishe madereva waliopo,na tuaze na uchaguzi wa serikali za mitaa kuwaonesha kwa vitendo kwamba tumechoka,na tuwaambie muda wao umekwisha.
 
Ningependa kujua lakini sina jinsi ya kujua na sitaweza kujua lakini sitaki kujua ili nisiumie kama anvyoumia Mzee Mwanakijiji. Nasema hivi kwa sababu gani haya machache ambayo nimeyajua yameniumiza kuliko jinsi ambvyo nilitarajia kuwa nikiujua ukweli wenyewe sitaumia sana bali nitatfuta suluhisho kwa ajili yangu na jamii yangu.
Ni yapi hayo niliyoyajua na kupasua nyongo yangu hadi kunifanya nisitake kujua zaidi ya niliyoyajua

1. Nilijua kuwa serikali yetu imeuza ardhi kwa wawekezaji kule Loliondo hadi kufikia hatua ya wale Waarabu kujimilikisha hadi anga ya mhala pale, na ndio maana ukifika pale unakaribishwa United Arabs kuanzia kwenye simu zenu za viganjani hadi kwenye vyakula. Na serikali hii kwa kukosa aibu imeamua kuwafukuza wafugaji waliopo pale tena kwa kuwachomea moto nyumba zao na kuwaambie waende wanakokujua. Lakini ni viongozi hawa hawa wananwaambia wafugaji warudi kwao, Je hawa wafugaji wakirudi kwao hao wakulima na wafanyabiashara nao wataenda kwao? Au serikali inapenda kuona kilichotokea Rwanda, Burundi na kwingineko

2. Nilipojua kuwa serikali yetu haiwezi kuwachukulia hatua mafisadi wa Richmond EPA na kadhalika kwa lengo la kulinda uahia wa chama chao nilisikia kichefuchefu

3. Nilijua kuwa chama tawala kinawalinda mafisadi ndani na nje ya bunge cham na serikalini ndio nilipochoka na kujutaa kwanini nilitaka kujua hili.

4. Lakini nilipojua kuwa chama tawal ndio kinaongoza bunge letu ambalo ni mhimili muhimu na mkubwa kuliko serikali nilijuta sana kwanini nilikutana na habari hizi na kuzijua kwa undanio wake

Ndio maana nataka kumpa pole MM kwa kujua mengi yanayomkera na kumsumbua kichwa akili na mwili
 
Nadhani tusipoteze matumaini...kujua kwetu ndiko kutatufanya tutende yale tunayodhani yatatusaidia kuiondoa jamii yetu kwenye hali hii. Lets stay focused...and work hard to bring changes. Na hata sisi tuwe wakweli katika kuleta mabadiliko...sio kulalamika tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom