Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Kaka wa 'Mtoni'
Hapa tunajadili kuhusu performance na track record zipi? maana siasa za Tz ni makundi sio mtu mmojammoja.
Thinker,
Yeah, makundi tu mkuu. Kuna wabunge wa viti maalumu wanakwenda kusikiliza wezao walonga nini bungeni. Lakini nao wanatupa mistari kwenye facebook. Na makundi mengine yamekuwa Tanzanian Royal family Tayari.