MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
all about is kula tu, mikelele miiingi.
Ndugai kaongelea kauli ya kinafiki ya FTS juu ya posho za Wabunge. Ndugai kamkumbusha tu FTS baadhi ya maamuzi yaliyowahi kufanywa na Bunge lililopita wakati akiwa KIONGOZI wa shughuli za serikali Bungeni. Unadhani ni kwa nini Ndugai hakuwajibu watu wengine wengi tu walioliongelea suala hili?
Yaani hapo ndo kawaza kawazua na ametoka hivyo baada ya kufkiria kwa kina na umakini mkubwa. Huyu atakuwa ni Naibu Spika wakwanza duniani kuongea upumbavu.Ndugai hayuko timamu lazima anafile Mirembe sijui kama alimsikiliza Sumaye kwa makini au alisimuliwa?
Mkuu umeongea kitu cha maana sana yani hizi kauli zao wakati mwingine zinaweza kukutoa machozi hawana huruma kabisa, mm najiuliza hivi hawaoni maisha yanavyotugonga sisi wananchi tunaolipwa 1500 kwa siku kwenye makampuni ya kichina na wahindi.
Tatizo viongozi wetu wengi hawapendi kuambiwa ukweli wao wamezoea kutudanga kwa makaratasi yaliyojaa takwimu za uongo, wanatakiwa waelewe kuwa watz sio mambumbu tena kama walivyozoea.
Kiongozi kama Ndugai amejionesha utupu wake hivyo nawashauri watu wa jimbo lake kumnyima kura maana huo ubunge ameufanya kama sehemu ya kutengenezea utajiri.
Mi nadhan haina haja ya kusubiria hadi huko kwa mungu, kwan hakuna cha kuwafanyia nyakati hizi???kwani hawa viongoz waliojisahau hatuna namna ya kuwavua utawala????Inamana pale anazo siri nyingi za uhujumu uchumi alizomfichia sumaye na ndo mana kasema hataki kusema mengi, hivi huo si ndio unaoitwa usaliti kwa watanzania??kweli mtu wa hivyo ana sifa ya kuendelea kututawala???mawazo ya njaa za viongozi wenu kina ndugai. watanzania watawakumbuka kwa ufisadi, ulafi, wizi na kila maovu dhidi ya wananchi wanaolia kila siku bila hata mkate. ndugai na wenzako mjiandae kutoa majibu kwa mungu dhidi ya mateso mnayosababisha kwa watanzania kwa ulafi wenu.