Yani huyu NDUNGAI namchukia kupita maelezo, anajiona yeye ndio yeye na anaona Tanzania nzima hakuna anejua sheria kama yeye.Huwa ana ubabe sana kwa wapinzani na ushabiki wa wazi wazi na usiokuwa na maana kwa CCM.Yani ni afadhali makinda kuliko huyu kibaraka anaejiskia na kujiona ni mbabe.Kuna siku huko mitaani watampiga mawe
Nilikuwa nafuatilia Bunge na nikakuta sehemu ambayo walikuwa wanazungumzia suala la Bima za Wabunge - wakijadili kauli ya Kafulila kuwa Wabunge ni "privileged class" kuwa wanapata huduma ya afya wao na watoto wao. Ndugai alipokuwa akijaribu kutoa ufafanuzi alidokeza kitu kuwa wabunge hawana bima ya afya na Bungeni linawafanyia utaratibu. Akatumia muda pia kurusha vidonge vya mwisho na kama utakavyosikia Halima Mdee akataka kupata "taarifa"... well listen
View attachment 33772
Jamani naomba CV za Job Ndugai, he has proved to be one of those CCM vihiyos!
Hebu mwenye kujua CV yake aiweke hapa jamvini tuichambue. Kwa kweeri jamaa ameni-bore stiff kinoma. Jana nilikuwa natamani nikamzabue kibao kwenye runinga wakti akitapika kejeli zake za kinafiki.
CCM bwana imejaa majuha na vihiyo watupu.
Pambaf kabsaa!
Jamani naomba CV za Job Ndugai, he has proved to be one of those CCM vihiyos!
Hebu mwenye kujua CV yake aiweke hapa jamvini tuichambue. Kwa kweeri jamaa ameni-bore stiff kinoma. Jana nilikuwa natamani nikamzabue kibao kwenye runinga wakti akitapika kejeli zake za kinafiki.
CCM bwana imejaa majuha na vihiyo watupu.
Pambaf kabsaa!
EDUCATIONS | ||||
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
University of Norway | MSc. in Mgt. Natural Resources&Sustainable Agric. | 1995 | 1996 | MASTERS DEGREE |
University of Dar es Salaam | BSc.(Zoology Wildlife Ecology) | 1989 | 1993 | GRADUATE |
University of Norway | PG Diploma in Mgt of Natural Resources | 1994 | 1995 | POSTGRADUTE |
MWEKA Wildlife College | Diploma in Wildlife Management | 1986 | 1988 | DIPLOMA |
Open University of Tanzania | LLB | 2000 | Todate | NOT COMPLETED |
Kibaha Secondary School | O-Level Education | 1978 | 1981 | SECONDARY |
Old Moshi High School | A-Level Education | 1982 | 1984 | HIGH SCHOOL |
Matare Primary School | Primary Education | 1971 | 1977 | PRIMARY |
CERTIFICATIONS | |||
Certification Name or Type | Certification No. | Issued | Expires |
No items on list | |||
EMPLOYMENT HISTORY | |||
Company Name | Position | From Date | To Date |
Frankfurt Zoological Society | Technical Officer | 2000 | 2000 |
Serengeti Regional Conservation Project | Manager | 1997 | 1999 |
Ministry of Natural Resources and Tourism | Coordination Officer | 1996 | 1996 |
Selous Game Reserve | Manager | 1993 | 1999 |
Ministry of Natural Resources & Tourism-Liwale District | Wildlife Officer | 1988 | 1989 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
CCM-Chama Cha Mapinduzi | Member of Parliament(Kongwa District) | 2000 | Todate |
CCM-Chama Cha Mapinduzi | Ward Youth Commander | 1996 | 1999 |
CCM-Chama Cha Mapinduzi | Chairman(Work Place) | 1996 | 1999 |
CCM-Chama Cha Mapinduzi | Member | 1981 | Todate |
PUBLICATIONS | |
Description | Published Date |
No items on list | |
SPECIAL SKILLS | |||
Skill Name or Description | Years Experience | Acquired Through | Skill Level |
No items on list | |||
RECOGNITIONS | ||||
Recognition Type | Recognition Date | Reason | Action Taken | Issued by |
No items on list | ||||