haaa haaa haaa mesage sent maana mpaka umepaniki,nitakua mkweli daima,sitaruhusu itikadi wala ushabiki vinifanye nisiwaze kwa mapana na kuamua,kudandia mada bila kutafakari ni utoto sana,pole kama unashirikisha makalio cku ukiamaua kufikiri
Kaka wewe mchango wako kimawazo pia una itikadi ndani,kwa watu wenye kujua 2nakuambia unadhan unachangia vizuri kumbe kwangu nakupa zero..listen kwa Taifa lolote Duniani usalama wa Raia wake ni kipaumbele zaidi ya chochote..ingefaa wabunge wajadili ili watoe mawazo na majawabu ya ajali hz za mara kwa mara na kuziepusha kutokea tena..bajeti zitapitishwa 2 kushusha bendera sio jawabu la ajali