Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,645
dole la kati ndo tusi,,,,,,,,kuna mchezaj aliwah kuadhibiwa kwa kuonyesha kidole cha kati,,,,,,,cha shahada c tusi
Mkuu unakusudia "kidole chuji!!?
dole la kati ndo tusi,,,,,,,,kuna mchezaj aliwah kuadhibiwa kwa kuonyesha kidole cha kati,,,,,,,cha shahada c tusi
Kama kiongozi, hasa wa bunge, he is responsible to act accordingly whether provoked or not! Na kuongelea provocation iliyotokea badala ya kukiri kuwa he acted unprofessionally, that makes him really unprofessional. Sorry, nasahau hakuna kitu kama professionalism kwenye gutter politics.
sehemu ya kuonyesha dharau ilitolewa katika taarifa ya habari na hao hao Star tv, ni vigumu kuliendesha Bunge la namna hiyo kwani hata Charles Bonoface Mkwasa aliishindwa timu ya Taifa Queen kwa ajili ya USAGAJI.Mkuu, sikujua kama na wewe ni Mheshimiwa Mbunge, na ulikuwemo mjengoni na ukamuona Halima 'akibinua vidole'. Au wewe ni miongoni mwa wale askari waliomtoa nje Machali?
sehemu ya kuonyesha dharau ilitolewa katika taarifa ya habari na hao hao Star tv, ni vigumu kuliendesha Bunge la namna hiyo kwani hata Charles Bonoface Mkwasa aliishindwa timu ya Taifa Queen kwa ajili ya USAGAJI.
Ni siku hiyo mtakapoamini mkielezwa NMC ilishawashambulia watu humo, ndo maana kiburi kinazidi
chao!!!!!!
hebu tujiulize watanzania. Mtu akikunyooshea kidole kimoja cha shahada huwa inamaanisha nini? Binafsi huwa ninaona ishara hiyo hutolewa na mtu akikasirika kwa maana ya kumtukana. Kuna tofauti gani na kusema "wewe unatiwa nini? au "wewe unakazwa nini?", au "wewe unafanywa nini?",. Hivi ukiambiwa hivi utahangaika kujiuliza kutiwa ni nini, maana kwenye dictonary kutiwa au kukazwa au kufanywa hakuonyeshi kwamba ni tusi.
Sasa hayo ni maneno, zipo na ishara, tena nyingi tu. Hebu tujiulize watanzania. Mtu akikunyooshea kidole kimoja cha shahada huwa inamaanisha nini? Binafsi huwa ninaona ishara hiyo hutolewa na mtu akikasirika kwa maana ya kumtukana. Kuna tofauti gani na kusema "wewe unatiwa nini?".
Ukweli Halima Mdee alifanya kitendo sawa na yule Mwenyekiti Mabumba aliyemwambia John Mnyika "Hivi unawashwa nini?"
Nakumbuka kuna wakati hapa nchini Hadija Kopa na Nasma walitunga taarabu iliyoleta sokomoko kwa wimbo usemao "wadudu wananyemvuanyemvua". Ndiyo yaleyale.
tatizo siku hiyo TV zote za Bunge zilikuwa zinamuonyesha Job Ndugai aliyekuwa amesimama anajibu swali hivyo hazikuwa zimemlenga Halima Mdee, kama jinsi kwenye fainali za kombe la dunia za Mwaka 2006 ambapo TV hazikumuonyesha Zinedine Zidane wakati anampiga kichwa Materazi na isingekuwa kutorudiwa kwa TV (replay) nbasi tusingeona alivyomtwanga kichwa.
Lakini katika kujitetea Zinedine pia alijitetea kama Job Ndugai kwamba alitukanwa matusi ambayo yalisikika kwa waliomo uwanjani tu na TV zisingeweza kuona au kusikia.
Hiyo inaitwa "Provoking".
Nina uzoefu binafsi hata kwenye magovmi ya familia, mtu huwezi kuja kuniambia kwamba fulani kamuua ndugu yake kwa ugomvi wa shilingi moja. Lazima nichunguze jambo kubwa lililojificha nyuma yake. Maana provoker hupenda kutumia public kama silaha yake kwa sababu sisi public hatukujua nini kilitokea nyuma ya pazia.
Lakini provoker naye hufanya hivyo akijua kwamba jamii inayomzunguka ni mazuzu ambayo hayatajikita kutafuta ukweli wa chanzo.
Jiulizeni, ni nini historia ya Halima Mdee kulingana na maadili? Je, kesi yake aliyoshitakiwa na James Mbatia ilikuwa na msingi gani? Je, haukuwa msingi wa matusi?
Je, kwa nini Halima Mdee huyohuyo na kwa Naibu Spika huyohuyo mwaka jana aliambiwa neno kubwa zaidi kwamba "Bungeni si mahala pa kuvutia bangi?" .
Ukweli Halima Mdee alifanya kitendo sawa na yule Mwenyekiti Mabumba aliyemwambia John Mnyika "Hivi unawashwa nini?"
Nakumbuka kuna wakati hapa nchini Hadija Kopa na Nasma walitunga taarabu iliyoleta sokomoko kwa wimbo usemao "wadudu wananyemvuanyemvua". Ndiyo yaleyale.
tatizo siku hiyo TV zote za Bunge zilikuwa zinamuonyesha Job Ndugai aliyekuwa amesimama anajibu swali hivyo hazikuwa zimemlenga Halima Mdee, kama jinsi kwenye fainali za kombe la dunia za Mwaka 2006 ambapo TV hazikumuonyesha Zinedine Zidane wakati anampiga kichwa Materazi na isingekuwa kutorudiwa kwa TV (replay) nbasi tusingeona alivyomtwanga kichwa.
Lakini katika kujitetea Zinedine pia alijitetea kama Job Ndugai kwamba alitukanwa matusi ambayo yalisikika kwa waliomo uwanjani tu na TV zisingeweza kuona au kusikia.
Nakumbuka mwaka 1993 wachezaji wa Simba waliwahi kupigwa huko Sudan mwaka 1993 baada ya John Nteze kufunga goli la ushindi kuishinda El-Mereikh ya huko kwenye kombe la CECAFA. Simba walishangilia goli kwa kuwazomea washabiki wa Sudan kwa kuwanyooshea vidole kama Halima Mdee alivyofanya. Washabiki wa Sudan hawakulivumilia hili, wakakasirika wakaingia uwanjani wakaingia uwanja wakawapiga wachezaji wa Simba na mechi ikavunjika na Simba haikuingia fainali.
Hiyo inaitwa "Provoking".
Nina uzoefu binafsi hata kwenye magovmi ya familia, mtu huwezi kuja kuniambia kwamba fulani kamuua ndugu yake kwa ugomvi wa shilingi moja. Lazima nichunguze jambo kubwa lililojificha nyuma yake. Maana provoker hupenda kutumia public kama silaha yake kwa sababu sisi public hatukujua nini kilitokea nyuma ya pazia.
Lakini provoker naye hufanya hivyo akijua kwamba jamii inayomzunguka ni mazuzu ambayo hayatajikita kutafuta ukweli wa chanzo.
Jiulizeni, ni nini historia ya Halima Mdee kulingana na maadili? Je, kesi yake aliyoshitakiwa na James Mbatia ilikuwa na msingi gani? Je, haukuwa msingi wa matusi toka mdomoni mwa Halima Mdee?
Je, kwa nini Halima Mdee huyohuyo na kwa Naibu Spika huyohuyo mwaka jana aliambiwa neno kubwa zaidi kwamba "Bungeni si mahala pa kuvutia bangi?" .
Tuache utani. Siwapendi CCM lakini tunaweza kuwaondoa CCM bila kuwatukana hata tusi moja.
Mkuu, NMC ndiyo nini?
hebu tujiulize watanzania. Mtu akikunyooshea kidole kimoja cha shahada huwa inamaanisha nini? Binafsi huwa ninaona ishara hiyo hutolewa na mtu akikasirika kwa maana ya kumtukana. Kuna tofauti gani na kusema "wewe unatiwa nini? au "wewe unakazwa nini?", au "wewe unafanywa nini?",. Hivi ukiambiwa hivi utahangaika kujiuliza kutiwa ni nini, maana kwenye dictonary kutiwa au kukazwa au kufanywa hakuonyeshi kwamba ni tusi.
Sasa hayo ni maneno, zipo na ishara, tena nyingi tu. Hebu tujiulize watanzania. Mtu akikunyooshea kidole kimoja cha shahada huwa inamaanisha nini? Binafsi huwa ninaona ishara hiyo hutolewa na mtu akikasirika kwa maana ya kumtukana. Kuna tofauti gani na kusema "wewe unatiwa nini?".
Ukweli Halima Mdee alifanya kitendo sawa na yule Mwenyekiti Mabumba aliyemwambia John Mnyika "Hivi unawashwa nini?"
Nakumbuka kuna wakati hapa nchini Hadija Kopa na Nasma walitunga taarabu iliyoleta sokomoko kwa wimbo usemao "wadudu wananyemvuanyemvua". Ndiyo yaleyale.
tatizo siku hiyo TV zote za Bunge zilikuwa zinamuonyesha Job Ndugai aliyekuwa amesimama anajibu swali hivyo hazikuwa zimemlenga Halima Mdee, kama jinsi kwenye fainali za kombe la dunia za Mwaka 2006 ambapo TV hazikumuonyesha Zinedine Zidane wakati anampiga kichwa Materazi na isingekuwa kutorudiwa kwa TV (replay) nbasi tusingeona alivyomtwanga kichwa.
Lakini katika kujitetea Zinedine pia alijitetea kama Job Ndugai kwamba alitukanwa matusi ambayo yalisikika kwa waliomo uwanjani tu na TV zisingeweza kuona au kusikia.
Hiyo inaitwa "Provoking".
Nina uzoefu binafsi hata kwenye magovmi ya familia, mtu huwezi kuja kuniambia kwamba fulani kamuua ndugu yake kwa ugomvi wa shilingi moja. Lazima nichunguze jambo kubwa lililojificha nyuma yake. Maana provoker hupenda kutumia public kama silaha yake kwa sababu sisi public hatukujua nini kilitokea nyuma ya pazia.
Lakini provoker naye hufanya hivyo akijua kwamba jamii inayomzunguka ni mazuzu ambayo hayatajikita kutafuta ukweli wa chanzo.
Jiulizeni, ni nini historia ya Halima Mdee kulingana na maadili? Je, kesi yake aliyoshitakiwa na James Mbatia ilikuwa na msingi gani? Je, haukuwa msingi wa matusi toka mdomoni mwa Halima Mdee?
Je, kwa nini Halima Mdee huyohuyo na kwa Naibu Spika huyohuyo mwaka jana aliambiwa neno kubwa zaidi kwamba "Bungeni si mahala pa kuvutia bangi?" .
Tuache utani. Siwapendi CCM lakini tunaweza kuwaondoa CCM bila kuwatukana hata tusi moja.
Mineno yoooote hii uliojaza hapa haitoi justification kwa Ndugai kusema alichosema. Kama ni kuudhiwa hata Mnyika aliudhiwa na udhaifu wa Kikwete na Upuuzi wa CCM, lkn akaadhibiwa bila kuulizwa ni kitu gani kimemuudhi.
Kwa kifupi mimi sioni unachoongea hapa, Ndugai kakosea na hamna la kujitetea. Kubenuliwa vidole hakumfanyi na yeye kupata haki ya kutukana.