Ndoto zinanisumbua

Ntaluke.N.

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
1,340
552
Siku ya kwanza nimeota nakula kumbikumbi,siku inayofuata nikaota na kula senene,pia nimekuwa nikiota nakimbikizwa na nyoka mara kwa mara.Naomba mwenye uelewa na hizi ndoto anieleweshe.Natanguliza shukrani.
 
Mazingira ya kichawi unayoishi, hama au fanya maombi sana. Naujikabidhi kwa Munngu.
 
Siku ya kwanza nimeota nakula kumbikumbi,siku inayofuata nikaota na kula senene,pia nimekuwa nikiota nakimbikizwa na nyoka mara kwa mara.Naomba mwenye uelewa na hizi ndoto anieleweshe.Natanguliza shukrani.

I see kama mimi kabisa, mara naota nakula vitumbua, chapati mara maandazi...inanikera sana na nafanya maombi sana lakini smtime inajirudia.....

Wakati mwingine naota nakula nyama nakutest vyakula tofauti!

Ushauri plz
 
I see kama mimi kabisa, mara naota nakula vitumbua, chapati mara maandazi...inanikera sana na nafanya maombi sana lakini smtime inajirudia.....

Wakati mwingine naota nakula nyama nakutest vyakula tofauti!

Ushauri plz
Hahahahaha
 
Kuota unakula kumbikumbi ni kupanda helkopta kuota unakula senene ni kupanda ndege(ya abiria)
kuota unakimbizwa na nyoka ni kupanda treni..!
usiogope ipo sku utavipanda..
weee natania ngoja wajuzi waje..
 
I see kama mimi kabisa, mara naota nakula vitumbua, chapati mara maandazi...inanikera sana na nafanya maombi sana lakini smtime inajirudia.....

Wakati mwingine naota nakula nyama nakutest vyakula tofauti!

Ushauri plz
Mkuu haya mambo yanakera sana,lakini ngoja tusubiri wataalamu
 
me naota mara putun kauawa,mara tupo wanajeshi sijui nchi gani huki tunatembea na mkalimani,mara tupo kambini jeshini....mara sijui tunaua mateka kwa mapanga......kuna mtu aliniambia sitokufa mpaka nione vita sasa sijui kwa kweli
 
Itakuwa unakula sana usiku halafu kwa kuchelewa ( kwa mujibu wa wataalam)
 
Mkuu swala muda wa kula huwa nakula mapema sana,yaani saa moji kamili lazima niwe namalzia kula.
Kiukweli nilishawahi kuota zaidi ya Mara 3 nafanya Kazi ikulu, Mara ya mwisho niliota nipo nafanya usafi kipindi hiki cha magufuli sijui hata maana yake nini?
 
I see kama mimi kabisa, mara naota nakula vitumbua, chapati mara maandazi...inanikera sana na nafanya maombi sana lakini smtime inajirudia.....

Wakati mwingine naota nakula nyama nakutest vyakula tofauti!

Ushauri plz
Nasikia ukiota unakula nyama ujue unalishwa nyama za watu kichawi. Muulize vzur mshana jr anaweza kukusaidia ushauri
 
Ziko sababu nyingi za ndoto mbalimbali, ziko zinazohusiana na mambo ya kishirikina/uwepo wa majini au huyo mtu alifanya tiba fulani zinazohusika na mikataba hizo ndoto ni kama kula nyama na watu waliokufa,kukimbizwa na mtu mwenye kitu chenye ncha mfano kisu,kulala au kula na joka,kufanya mapenzi mara kwa mara na mtu usiyemjua au ukadhani ni mkewe kumbe yupo mtu anayevaa sura hiyo,hofu pita kiasi,
 
Mkuu,
Mbona njozi zako zoote ni moja tu. Kula kumbikumbi na kula senene zote moja tu. Ni wadudu wa gizani hao. Iko siku utapata mlo wa gizani tu. Machimboni. Ila kuota unakimbizwa na nyoka kama ni wa kijani mambo yako yatakuwa mazuri very soon. Kama ni wa rangi zingine ni balaa. Ni mikosi, ni jaribu zito linakunyemelea.
 
Always keep in mind ukiota unakula shetani anakuharibu nafsi yako, sio ndoto ni kweli u nakula(based in spiritual life)
 
Back
Top Bottom