Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?

Sijachanjiwa mtu wangu, ndivyo ilivyo tangu najijua. Ni hivi wachawi siwezi wala sijawahi kuwaona isipokuwa naweza kuota kitu na kikawa kweli mfano mtu anafanya jambo baya juu yangu ambalo effect yake itakuwa ni kubwa basi huwa naweza kuliota miezi au siku kadhaa kabla.

Hii haina maana ni matukio yote maana kuna mengine sioti nashtukia tu

Kaa na wazazi au walezi wako uwaulize juu hayo mambo,naamini watakuelezea ukweli.
 
Huwa siamini katika majini na mizimu mkuu, lakini suala la kuota ndoto za kweli huwa linanitokea. Kipindi hicho nipo form six niliwahi kuota mwalim wangu mmoja amekufa lakini kwa wakati huo mwalimu yule alikuwa mzima kabisa na haumwi lakini wiki moja badae yule walimu alikufa, mahali ambapo ninafanya kibarua sasa niliota ninafanya kazi hapa kipindi hicho kabla sijamaliza chuo, kuna kipindi niliota nipo nchi za magharibi miezi sita badae nikasafiri. Ni mengi sana mkuu, kuna kipindi naota nikiamka nakuwa nimesahau lakini siku kitu kimetokea kumbukumbuku zinakuja kuwa nilishawahi kuota kitu cha namna hii.

Brother kusema ukweli mimi mwenyewe huwa naota naruka juu kama wewe na feeling zote unazoziota na mimi huwa zinanitokeaga,niliwahi kuota nipo sehemu flani kuna baridi kali lakini pametulia na ni pasafi sana.Baada ya miaka kama 5 nikajikuta nipo sehemu hiyo physically ilikuwa San Francisco USA sasa baada ya kufika hiyo sehemu nikapaona kama siyo sehemu ngeni wakati nilikuwa sijawahi kufika USA then baadae ndiyo nikakumbuka kuwa sehemu hiyo ilishawahi kunitokea kwenye ndoto.

Sasa hivi nasumbuliwa na ndoto ya kuwa darasani nasoma ama nafanya mitihani lakini kila siku navoota ndoto hiyo najiona kama nastrugle yaani inafika kipindi mwalimu anasema pen down mimi nakuwa nimejibu maswali 4 kati ya maswali 20 na bahati mbaya muda unaisha wakati maswali yote nayafahamu lakini siwezi kuyajibu either kalamu inagoma kuandika ama najikuta nimechelewa kuingia kwenye chuba cha mtihani ama nakosa chumba cha mtihani mpaka zikiwa zimebaki kama dakika 20 ndiyo naona venue ya mtihani.Kusema ukweli ndoto hii siijui hata kidogo na inanisumbua sana
 
Khaa!! Fanya mazoezi jioni, Kula kwa kiasi chakula cha jioni. Kula mchanganyiko wa matunda au mvinyo. Oga maji ya moto pumzika kidogo kisha ndiyo ulale. Una mshirika wa kitanda??
 
Mmeshindaje wakuu,

Mara nyingi nimekuwa nikiota ndoto kama napaa hewani, imetimia miaka miwili sasa toka nianze kuota ndoto ya namna hii. Ndoto hii ninaiota atleast mara moja kwa mwezi, naota nikiwa katika mazingira tofauti nikawa nipo mitaani tu napaa hewani watu wananishangaa nikifika kwenye nyaya za umeme nina zikwepa nazidi kwenda juu zaidi.

Siku nyingine naota nipo kwenye ndege halafu ndege imepata ajali wengine wanapata madhara lakini mimi ninaendelea kuelea angani. Ili nipae angani huwa natakiwa niinyooshe mikono hewani dnipo napaa hewani zaidi na nikitaka kushuka chini nashusha mikono chini nikitaka kwenda angani tena nanyosha mikono juu.

Muda huo nikiwa angani huwa nakuwa na furaha sana na hatimae nikiamka asubuhi siku yangu huwa ya furaha sana.

Michango yenu wakuu, ni kawaida kuota ndoto inayojirudia rudia mara nyingi? Ndoto hii ina maana gani?
ASANTENI.

CC: MziziMkavu Pasco

NDOTO ZA KISHETANI ZENYE MAANA MAALUM:


1)Mwenye kuota uchi wa mwanamke au kuota anafanya mapenzi na mtu anaemjua au mtu

asiyemjua au mwenye kuota ameolewa au anaoa au anavishwa pete ya harusi au mkufu basi

hii inamaana mtu huyu ana jini mahaba.

Tena anaeota kuoa au kuolewa ina maana huyo jini mahaba tayari keshamuoa kweli,japo ndio hiyo sio

halali na wala haina makubaliano.

2)mwenye kuota anakula kachumbari au chakula cha harusini,anakula chakula cha aina yoyote

tena pahala popote au akaota nyoka mweusi au akaota anacheza ngoma ya aina yoyote tena

ikiwa muotaji si mwenye kupenda ngoma yoyote.

Basi ndoto hii ina maana mtu huyu ana jini aitwaye KHADIMU SIHRI,(mwenye kutumikia uchawi)

jini huyu anapomvaa mtu lazima amwachie uchawi,hvyo basi kwa kule kuota unakula chakula

cha aina yoyote ni kweli unakula,unalishwa uchawi na kwa kule kucheza ngoma ya aina yoyote

ni kweli unachezeshwa ngoma ya kichawi.

3)Mwenye kuota kumuona simba basi huyu ni jini tena kafiri.jini huyu hupenda sana kufanya

juhudi za kumtoa mwnadamu ktka ibada za kumjua Allah na kumshawishi kuingia ktka ibada

za shaitwan.

4)Mwenye kuota Ng'ombe au Nyati,ndoto hii inamaana mtu huyu ana jini aitwae TABDILI.

Jini huyu ameitwa hivi kwa sababu ya kubadilika badilika pindi atimizapo miaka 100 au 30

au 500,hubadilika kurudi tena ktka ujana. Majini hawa ni wachache sana tena ni wasumbufu

kwa wanadamu.

5)Mwenye kuota anapaa angani,ndoto hii ina maana kuwa mtu huyu ana jini aitwaye TWIYARA.

Kama una Maswali yoyote kuhus Majini Mashetani au ugonjwa nitumie Barua ya pepe Email

yangu Address fewgoodman@hotmail.com au pia waweza kunitembelea blog yangu bonyeza

hapa Mzizi Mkavu
 

NDOTO ZA KISHETANI ZENYE MAANA MAALUM:


1)Mwenye kuota uchi wa mwanamke au kuota anafanya mapenzi na mtu anaemjua au mtu

asiyemjua au mwenye kuota ameolewa au anaoa au anavishwa pete ya harusi au mkufu basi

hii inamaana mtu huyu ana jini mahaba.

Tena anaeota kuoa au kuolewa ina maana huyo jini mahaba tayari keshamuoa kweli,japo ndio hiyo sio

halali na wala haina makubaliano.

2)mwenye kuota anakula kachumbari au chakula cha harusini,anakula chakula cha aina yoyote

tena pahala popote au akaota nyoka mweusi au akaota anacheza ngoma ya aina yoyote tena

ikiwa muotaji si mwenye kupenda ngoma yoyote.

Basi ndoto hii ina maana mtu huyu ana jini aitwaye KHADIMU SIHRI,(mwenye kutumikia uchawi)

jini huyu anapomvaa mtu lazima amwachie uchawi,hvyo basi kwa kule kuota unakula chakula

cha aina yoyote ni kweli unakula,unalishwa uchawi na kwa kule kucheza ngoma ya aina yoyote

ni kweli unachezeshwa ngoma ya kichawi.

3)Mwenye kuota kumuona simba basi huyu ni jini tena kafiri.jini huyu hupenda sana kufanya

juhudi za kumtoa mwnadamu ktka ibada za kumjua Allah na kumshawishi kuingia ktka ibada

za shaitwan.

4)Mwenye kuota Ng'ombe au Nyati,ndoto hii inamaana mtu huyu ana jini aitwae TABDILI.

Jini huyu ameitwa hivi kwa sababu ya kubadilika badilika pindi atimizapo miaka 100 au 30

au 500,hubadilika kurudi tena ktka ujana. Majini hawa ni wachache sana tena ni wasumbufu

kwa wanadamu.

5)Mwenye kuota anapaa angani,ndoto hii ina maana kuwa mtu huyu ana jini aitwaye TWIYARA.

Kama una Maswali yoyote kuhus Majini Mashetani au ugonjwa nitumie Barua ya pepe Email

yangu Address fewgoodman@hotmail.com au pia waweza kunitembelea blog yangu bonyeza

hapa Mzizi Mkavu

Mkuu, huyo jini TWIYARA ana athari gani kwa mwanadamu? ubaya wake ni upi au yupi kwaaajili gani kwa mwanadam?
Thanks in advance
 
Huwa siamini katika majini na mizimu mkuu, lakini suala la kuota ndoto za kweli huwa linanitokea. Kipindi hicho nipo form six niliwahi kuota mwalim wangu mmoja amekufa lakini kwa wakati huo mwalimu yule alikuwa mzima kabisa na haumwi lakini wiki moja badae yule walimu alikufa, mahali ambapo ninafanya kibarua sasa niliota ninafanya kazi hapa kipindi hicho kabla sijamaliza chuo, kuna kipindi niliota nipo nchi za magharibi miezi sita badae nikasafiri. Ni mengi sana mkuu, kuna kipindi naota nikiamka nakuwa nimesahau lakini siku kitu kimetokea kumbukumbuku zinakuja kuwa nilishawahi kuota kitu cha namna hii.

Una nguvu ya kiroho ya kuona jambo kiroho kabla kimwili halijatokea.Nakushauri Kuwa mtu wa maombi sana na kuongea zaidi na nafsi iliyoko ndani yako utaona mambo mengi yanayokuzunguka na mipango yako yote utakuwa unaweza kuisolve kiroho hata kabla haijatokea kimwili, Ushauri wangu epuka sana Ngono kwani itakupotezea uwezo ulionao, Binafsi nilikuwa na uwezo kama huo wa kuona kesho na yote yatakayonizunguka na hata gari nitakalo panda naliona na safari nzima, niliwahi wasiliana waandishi wa gazeti la Jitambue enzi hizo Munga Teheran R.I.P wakaweza nieleza mengi, ila huo uwezo kwangu umepungua sana baada ya kujichafua.

Nilikuwa rafiki wa kike 2002, Siku moja ananiaga anaenda Masama Machame kumtembelea mama yake,(kumbe ananidanganya)
Mie ktk ndoto nikamuona anapanda gari la kwenda Rombo, na jina la gari nikaliona, wakiwa wako na mdada mwingine wakaenda mpaka kwa bibi mmoja nikamuona yule bibi na nguo alizokuwa amevaa, baadae akawa amekalia kitu kama kinu hivi,,
Nilipokuja kushtuka nikawa na wasiwasi sana lakini ile picha ikawa inanijia na kujirudia..Ndani ya moyo wangu nikapewa maelekezo tukikutana nimwagie maji..Kweli nilitekeleza
Aliporudi toka nyumbani alikonidanganya ameenda nikamwambia kuwa hukutoka nyumbani.
Alilia sana nikamueleza alikotoka na alikuwa ameongozana na nani na walikoenda na gari alilopanda..
Baadae akanieleza ukweli akaniomba radhi ila tangia siku hiyo aliniogopa sana tena sana..
 
Mmeshindaje wakuu,

Mara nyingi nimekuwa nikiota ndoto kama napaa hewani, imetimia miaka miwili sasa toka nianze kuota ndoto ya namna hii. Ndoto hii ninaiota atleast mara moja kwa mwezi, naota nikiwa katika mazingira tofauti nikawa nipo mitaani tu napaa hewani watu wananishangaa nikifika kwenye nyaya za umeme nina zikwepa nazidi kwenda juu zaidi.

Siku nyingine naota nipo kwenye ndege halafu ndege imepata ajali wengine wanapata madhara lakini mimi ninaendelea kuelea angani. Ili nipae angani huwa natakiwa niinyooshe mikono hewani dnipo napaa hewani zaidi na nikitaka kushuka chini nashusha mikono chini nikitaka kwenda angani tena nanyosha mikono juu.

Muda huo nikiwa angani huwa nakuwa na furaha sana na hatimae nikiamka asubuhi siku yangu huwa ya furaha sana.

Michango yenu wakuu, ni kawaida kuota ndoto inayojirudia rudia mara nyingi? Ndoto hii ina maana gani?
ASANTENI.

CC: MziziMkavu Pasco

kufanikiwa/kama kuna kikwazo/pingamizi/mitihani utashinda ndo nzuri sana hiyo
 
Last edited by a moderator:
Brother kusema ukweli mimi mwenyewe huwa naota naruka juu kama wewe na feeling zote unazoziota na mimi huwa zinanitokeaga,niliwahi kuota nipo sehemu flani kuna baridi kali lakini pametulia na ni pasafi sana.Baada ya miaka kama 5 nikajikuta nipo sehemu hiyo physically ilikuwa San Francisco USA sasa baada ya kufika hiyo sehemu nikapaona kama siyo sehemu ngeni wakati nilikuwa sijawahi kufika USA then baadae ndiyo nikakumbuka kuwa sehemu hiyo ilishawahi kunitokea kwenye ndoto.

Sasa hivi nasumbuliwa na ndoto ya kuwa darasani nasoma ama nafanya mitihani lakini kila siku navoota ndoto hiyo najiona kama nastrugle yaani inafika kipindi mwalimu anasema pen down mimi nakuwa nimejibu maswali 4 kati ya maswali 20 na bahati mbaya muda unaisha wakati maswali yote nayafahamu lakini siwezi kuyajibu either kalamu inagoma kuandika ama najikuta nimechelewa kuingia kwenye chuba cha mtihani ama nakosa chumba cha mtihani mpaka zikiwa zimebaki kama dakika 20 ndiyo naona venue ya mtihani.Kusema ukweli ndoto hii siijui hata kidogo na inanisumbua sana

niwemugizi na mtoa uzi mmekosea sana kutoa mambo hayo hadharan! ukiwa mtu wa aina hiyo hutakiwi kabisa kumuelezea yeyote isipokuwa pale inapobidi tena kwa maslai ya wengi!. bahati ya kuota ndoto za maono ya kweli wanazo wachache na ni hatari sana kusimulia kabla ya kutokea. ni pm nikupe mfano halisi
 
Mmeshindaje wakuu,

Mara nyingi nimekuwa nikiota ndoto kama napaa hewani, imetimia miaka miwili sasa toka nianze kuota ndoto ya namna hii. Ndoto hii ninaiota atleast mara moja kwa mwezi, naota nikiwa katika mazingira tofauti nikawa nipo mitaani tu napaa hewani watu wananishangaa nikifika kwenye nyaya za umeme nina zikwepa nazidi kwenda juu zaidi.

Siku nyingine naota nipo kwenye ndege halafu ndege imepata ajali wengine wanapata madhara lakini mimi ninaendelea kuelea angani. Ili nipae angani huwa natakiwa niinyooshe mikono hewani dnipo napaa hewani zaidi na nikitaka kushuka chini nashusha mikono chini nikitaka kwenda angani tena nanyosha mikono juu.

Muda huo nikiwa angani huwa nakuwa na furaha sana na hatimae nikiamka asubuhi siku yangu huwa ya furaha sana.

Michango yenu wakuu, ni kawaida kuota ndoto inayojirudia rudia mara nyingi? Ndoto hii ina maana gani?
ASANTENI.

CC: MziziMkavu Pasco

Uta miliki ndege siku sio nyingi...au kama haujawai kukwea pipa basi jiandae.
 
Last edited by a moderator:
niwemugizi na mtoa uzi mmekosea sana kutoa mambo hayo hadharan! ukiwa mtu wa aina hiyo hutakiwi kabisa kumuelezea yeyote isipokuwa pale inapobidi tena kwa maslai ya wengi!. bahati ya kuota ndoto za maono ya kweli wanazo wachache na ni hatari sana kusimulia kabla ya kutokea. ni pm nikupe mfano halisi

Wapiga dili kila kona wapo duuh,m za nini weka mambo hadharani.
 
Kaa na wazazi au walezi wako uwaulize juu hayo mambo,naamini watakuelezea ukweli.

Familia yangu ni waumini wazuri sana tangu nazaliwa, hawakuwahi kufanya kitu kama hicho. Mi mwenyewe sijawahi kuona au kuwaona wakikanya kwa mganga, nishalifanyia tafiti mkuu hiyo ni nimezaliwa nayo tu.
 
Mkuu, huyo jini TWIYARA ana athari gani kwa mwanadamu? ubaya wake ni upi au yupi kwaaajili gani kwa mwanadam?
Thanks in advance
ukiwa nae huyu Jini Twiyara anakuwa anakurusha kila siku unapolala na kukuharibia mambo yako ya kimaisha baadae ana geuka kuwa jini mahaba na unakuwa kila ukipata pesa hazikai kama ni wewe ni mwanamme huwezi kukaa na mwanamke au kama wewe ni mwanamke huwezi kuishi kwenye ndoa utakuwa unaolewa na kuachwa kila mwaname au kama una mpenzi wa kiume kila wakati mutakuwa munagomban kila wakati. Sio Jini mzuri ni Jini mbaya huyo.
 
Back
Top Bottom