Ndoto za Kichaa...!

bAbiLoN

Member
Jan 17, 2009
6
1
Kichaa: Mi kila nikilala naota manyani yanacheza futbol
Daktari: Hamna shida, ntakupa dawa uanze kutumia na
kuanzuia leo hutaota tena.
Kichaa: Aaa....! sa si bora nianze kutumia kesho maana
leo ndo fainali.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom