Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,585
- 5,758
Kuna jamaa mmoja aliota kuwa ameokota fuko la hela. Ndani ya ufuko kulikuwa na fedha nying sana, zilikuwa na za silva. Fuko lilikuwa limetobok, hivyo pesa zilikuwa zinadondoka akaamua kuweka kidole kwa nguvu kwenye hilo tundu ili salio lisianguke. Asubuh anaamka kidole kipo kwenye tundu la makalio yake. Ilikuwa aibu kwel.