nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Kulingana na maneno yake huyu jamaa alikuwa anatengeneza safu ya kurudi tena kuwa Rais wa TFF baada ya Tenga heshima na wazifa aliopewa ni hatari kwa soka ya TZ nimemsikia mara nyingi sana akihojiwa na Maulid Kitenge wa Redio One majibu aliyokuwa akiyatoa na matendo yake ni hatari sana,nilikuja kugundua huyu jamaa alikuwa akitengeneza MTANDAO kwa ajili ya kuja kuwa RAIS,hatukatai lakini njia anayotumia sio nzuri ni mabaya na hatarishi,Kamati ya Lyato imefanya kazi nzuri na ngumu sana,kwa matendo ya ndolanga inabidi huyu jamaa Ndolanga akae nje ya TFF kabisa.Je walishinda katika vyama vingine vya mikoa wanakidhi haja,taratibu na sheria ya uchaguzi au huko kote kuna mkono wa Ndolanga?
Ndolanga anapenda mambumbumbu nio wawe viongozi ili kutimiza ndoto zake,tena nasema hongera Lyato.
Ndolanga anapenda mambumbumbu nio wawe viongozi ili kutimiza ndoto zake,tena nasema hongera Lyato.