Mroojr
Member
- Nov 15, 2010
- 65
- 8
si halali kabisa. rejea the story of creation of man, mwanaume ndiye aliyeumbwa kwanza so lazima awe mkubwa kidogo kiumri
mimi binafsi napinga hili,swala si umri ukubwa wa mwanaume uliokusudiwa ni kuwa msimamizi na mwenye mamlaka (amri) ya mwisho ktk familia yake. Wangapi wanaoa wake wamewazidi umri na maisha yao yanaenda vizuri.