Lord
Member
- Feb 13, 2009
- 91
- 26
Hivi ni kwa nini binaadam wanaoana?? Ina maana binaadam ni tofauti sana na wanyama wengine hasa linapokuja suala la mahusiano?? Kwa nini tusingekuwa kama wanyama wengine dume moja majike hamsini?? Utaratibu wa ndoa haujaletwa na baadhi ya watu wachache wabinafsi wanaotaka kujimilikisha kila kitu???