King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,825
- 24,760
<p>
<p> </p>
dc,kuna watu wengine unawaangalia vichwa vyao unashindwa hata kuhukumu.kuna mtu mnaweka mezani issue,mkimaliza tu kuongea anafanya exactly mlichokubaliana kutofanya.unafanyaje kwa case kama hiyo?unakuta hata ndugu za mwenza wanaku-support ufanye things behind his/her back.ungekuwa na mke interest yake ni kuvaa dhahabu worth 5-10 M tshs ungefanyaje,na mmepanga nyumba?mikataba inakuwepo ila inafika wakati mnakubaliana kila mtu afukuzie ndoto zake manake tulikutana kila mtu alikuwa na road map yake.baadae watoto watakuuliza baba na ww ulifanya nn wakati mama anakosea,utajibu vp?
</p>Ni kweli kabisa hayo mambo yanatokea sana. Miongoni mwa watu wanaofika kwenye ofisi zetu kuomba ushauri wanaeleza matatizo ya namna hiyo. Hivi hatuwezi kabisa kuongea na kuweka mambo mezani na hasa hasa wale tuliopitia vyumba vya madarasa hata kama ni shule za kata?</p>
<p> </p>
<p>Na je tuna mikataba na wanandoa wenzetu...aidhuru verbal kwamba tunataka nini katika ndoa? Au tumeacha mambo yajiendee hivyo hivyo tu kama Mvua!
<p> </p>
dc,kuna watu wengine unawaangalia vichwa vyao unashindwa hata kuhukumu.kuna mtu mnaweka mezani issue,mkimaliza tu kuongea anafanya exactly mlichokubaliana kutofanya.unafanyaje kwa case kama hiyo?unakuta hata ndugu za mwenza wanaku-support ufanye things behind his/her back.ungekuwa na mke interest yake ni kuvaa dhahabu worth 5-10 M tshs ungefanyaje,na mmepanga nyumba?mikataba inakuwepo ila inafika wakati mnakubaliana kila mtu afukuzie ndoto zake manake tulikutana kila mtu alikuwa na road map yake.baadae watoto watakuuliza baba na ww ulifanya nn wakati mama anakosea,utajibu vp?