Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
weekend huwa naenda makumbusho pale Azimio Arusha kujisomea nikijiandaa na mitihani yangu ya MBA, sasa kuna wadada huwa wanapitapita pale sijui huwa nao wanaenda kusoma ama ndio mambo mengine tena...sasa last week nilipata kioja ambapo demu mmoja kati yao alikuja nilipokaa na akaanza kujiongeleshaongelesha japo angeniona nilivyojuwa sina time nae angeondoka....mara akaanza kushika simu yangu na akabeep kwake. tukapigapiga story pale akaondoka.. Jioni yake akanipigia simu eti tukutane City garden anywway sikuona shida nikapitia pale, nilishangaa sana kwa yale aliyokuwa akinambia eti ameolewa na jamaa na wna miaka 3 kwenye ndoa yao ila hajapata mtoto so anataka nimpe mavituzi ili angalau apate mtoto. kweli baada ya hap nikaona kumbe wanaooa siku hizi wanatakiwa wawe makini sana. ukizaa watoto 3 hapo ukibahatika wawili wakawa wa kwako mshukuru mungu.