Ndoa za mkataba zina raha sana

Chinga One

JF-Expert Member
May 7, 2013
11,450
12,316
Wadau mimi ni mkristo tena Roman catholic, but linapokuja swala la ndoa huwa sikubaliani na hii kitu ya kufunga pingu za maisha yaani utakae muoa au kuolewa nae ndie awe daima na milele.

Ngumu sana kwa kizazi hiki cha screen touch hiyo kitu ilikua inafaa kwa kizazi cha kale but sio kwa wakati huu, ndio maana nawasapoti waislamu kwenye swala la kuoa unaoa leo akikuzingua basi una mtema una chukua ngoma nyingine unaweka ndani hapo lazma heshima ije tu.

Lakini haya ya pingu za maisha huwajengea kiburi wanawake si ana jua huna ujanja.
 
MMMMMMMHHHHH! Ngoja nipite kimyaaaaa! Leo kulikuwa na matukio mengi sanaaa nipo busy kuyaingiza kwenye kitabu cha KUMBULUMBU ZA UBUYU WA JF! Hahahaaaaa
 
Mkuu ndoa zote ni mkataba! What make them difference ni legality tu.

Hata unapot..bana na demu wako ni mkataba.

Ikiwa unakengeuka miiko ya imani yako ni dhahiri hata miiko ya huo mkataba wako wa utoto utashindwa!

Hope you don know what you want! Arent you?
 
nia yako ni kuikashifu dini hii sio bure wew kama unataka ndoa za mkataba nenda hukoo >>>>>>>>>>
 
Nafikiri watu wengi huwa hatuelewi ni mkataba gani unaoongelewa. Hakuna ndoa ya mkataba duniani kote inayoongelea duration ya ndoa. Utalipia mileage ama? Mkataba unaoongelewa ni prenuptial ama prenup. Huu ni mkataba wa kuwa chochote nilichochuma kabla ya ndoa hakihusiani na wewe. Hii inathibiti wenza wanaoingia kwenye ndoa na focus ya divorce. Unaoa ama kuolewa na suruali mbili za jeans afu unafile for divorce unataka kuweka mezani jasho la miaka 30 la kibabu ama kibibi cha watu.
 
Kaka ndoa za mkataba ni ushenzi wa kule uzunguni.ebu fikiria leo naingia kataba wa unyumba na mama yako mzazi!hapo ninaumri wa miaka 25 wewe 351+.je utaniita baba wa kufikia?
 
Back
Top Bottom