Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
WAJAMENE MAJUZI NIMEITWA NA KIJANA MMOJA ALIKUWA NJE YA NCHI.AKAOMBA NIMPE KAMPANI ANAMVISHA MCHUMBA WAKE pete.nilipofika hotel moja kubwa nikafurahi sana kuona kamoja cha kabinti cha mjini nakajua kamekamata msela
ila nilijaribu kuuliza kaka umempataje huyu akasema thr facebook......,duh nikaanza kuamini maana binti alikuja amevaa chupi ci chupi na haya kwenye picha alikuwa ataki kupigwa ovyo nikamwonea sana uruma maana jamaa alikuwa south na sidhan kama anamjua kabinti vizuri zaidi ya kupigwa mizinga anyway mapenzi utakiwi kuingilia lakni ushauri unatoa
kila l a kheri ndoa za FACEBOOK
ila nilijaribu kuuliza kaka umempataje huyu akasema thr facebook......,duh nikaanza kuamini maana binti alikuja amevaa chupi ci chupi na haya kwenye picha alikuwa ataki kupigwa ovyo nikamwonea sana uruma maana jamaa alikuwa south na sidhan kama anamjua kabinti vizuri zaidi ya kupigwa mizinga anyway mapenzi utakiwi kuingilia lakni ushauri unatoa
kila l a kheri ndoa za FACEBOOK