Jee kwa sisi waislam ruksa kuoa wake 4 itakuaje?cheti kitakuwa cha mke wa kwanza tuu?hao waliobaki 3 hawana haki ya kupata cheti cha ndoa toka serikalini?
Ukiongelea mambo ya kujulikana kwa kutumia majina broda hapo unaongelea kompyuta, , huenda hujatembelea ofisi za serikali kwa mfano kabidhi-wasii, ambako mafaili yamelundikana toka miaka ya 1950, na hakuna mfuatano wa kumbukumbu.
!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.