rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Wanasheria naomba msaada wenu.
Hivi kama mtu ana ndoa ya kanisani(RC) na baadae akaenda akafunga ndoa kiserikali(civil) je
1)kote huko anapata vyeti?Maana nasikia kote huko vyeti vinavyotolewa ni vya serikali na je is it illegal
2)Je mpaka sasa hatujawa na uwezo wa kujua kuwa mtu huyu mwenye jina lile lile anaoa au kuolewa tena?
ASANTENI.
RE.
Hivi kama mtu ana ndoa ya kanisani(RC) na baadae akaenda akafunga ndoa kiserikali(civil) je
1)kote huko anapata vyeti?Maana nasikia kote huko vyeti vinavyotolewa ni vya serikali na je is it illegal
2)Je mpaka sasa hatujawa na uwezo wa kujua kuwa mtu huyu mwenye jina lile lile anaoa au kuolewa tena?
ASANTENI.
RE.