BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Hawa ndio wanadaiwa kufulia??
Hawa celebrity wetu wako wapi sasa.Sisikii vurugu za mjini kama zamani
Naskia wamechoka balaa siku hizi ni mwendo wa boda Boda wakijitahidi sana bajaj....sijui walikosea nini mahela yote yale yakaisha ghafla
Kufulia ndio nini?Hawa ndio wanadaiwa kufulia??
Kwani boda boda ni kufulia ni usafiri pia .
Kufulia ndio nini?
Hehehehe wewe lazma ni Cynthia...saivi unafananisha benz na boda Boda. ????
Tanzania pamebadilika sana.Usafiri ni usafiri tuu.mbona USA watu wanapanda mabasi na train .too many cars Daresalaam sasa hivi .Mimi nikija bongo mwendo bodaboda
Katekista alikuwa wapi maana hyo nguo haikubaliki kanisani...
Hawa ni wakina nani hapa bongo.?ni ma celeb wa nini.
Hawa celebrity wetu wako wapi sasa.Sisikii vurugu za mjini kama zamani
Wamehamia kinondoni...from mbezi beach kwenye ghorofa..hawana gari la maana ht moja..kudandia ya watu...Cynthia anapanda bajaj siku hizi
Wamehamia kinondoni...from mbezi beach kwenye ghorofa..hawana gari la maana ht moja..kudandia ya watu...Cynthia anapanda bajaj siku hizi
Wewe lazima una ishu binafsi na cinthia, ebu acha kuchafua watu bila sababu wanaishi bahari beach kwenye gorofa na ndio wamepanga na kama kapanda bajaji basi kaamua maana juzi tuu katupostia insta benz nyekundu
Usiwatetee hao kina rich long time wamerudisha mpira kwa kipa. ..imebaki historia!hii daslaam ukipiga sana kelele watu wanakuhesabia siku tu za sukari. .walijitahidi kuwa neno mjini ila ndo vile maisha hayana bingwa yaliyowakuta kina kajumulo,Jack pemba na dallas ndo yamewakuta wao
Wewe lazima una ishu binafsi na cinthia, ebu acha kuchafua watu bila sababu wanaishi bahari beach kwenye gorofa na ndio wamepanga na kama kapanda bajaji basi kaamua maana juzi tuu katupostia insta benz nyekundu
Ni mchafue nini sasa tunaongea facts hapa...huko insta kila mtu anapost anavyojisikia....Cynthia wa kuuza samaki. Leo hii??..u dnt knw wat u r talking...n who u r talking too...bora uke kimya...maana hujui unachotetea