Teresia Mahimbi
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 271
- 91
Wadau tuwape pongezi wanandoa wapya mujini ni Richard Mziray na mrembo wa ukweeeeeee cynthia Masasi..Kila la heri kwenye maisha mapya.Epukeni marafiki wasiofaaa hasa kipinndi hiki amabpao mmekuwa mwili mmoja!!