Ndoa ya kifahari yafungwa jijini-[Richard Mziray & Cynthia Masasi]

Status
Not open for further replies.

Teresia Mahimbi

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
271
91
Wadau tuwape pongezi wanandoa wapya mujini ni Richard Mziray na mrembo wa ukweeeeeee cynthia Masasi..Kila la heri kwenye maisha mapya.Epukeni marafiki wasiofaaa hasa kipinndi hiki amabpao mmekuwa mwili mmoja!!

DSCF4700.JPG
 
Azania front,yes wapo wachungaji wanawake..Ndi wamependezaaaaa,one of the best wedding kwa watoto wa mujiniiiii n talk of town
 
kanisa gani?? anglikan au?? kwani azania front si ni la walutheri?? kuna wachungaji wanawake?? ol in ol walipendeza!! it was nice indeed!

Sijajua ni kanisa gani...lakini ukitoa haya makanisa ya 'uamsho', ni waLutheri tu ndio tuna wachungaji wanawake. Tuko gender sensitive sie bana...
 
  • Thanks
Reactions: ram
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom