Kwetu Kwao
Member
- Jun 7, 2012
- 16
- 3
Waswahili husema ndoa bila kitchen party si ndoa ni matanga. Ukitaka kujua ukweli waulize wazenji uovu unaofanywa na serikal yao ambayo bado inafurahia FUNGATE wa2 wanapeana viwanja bure,mauaji,rushwa,hali ngumu ya maisha,ajali,hakuna uhuru wa kuongea na kuabudu na mengineyo lakini nani atamkosoa mwenzake Maalim na Shein na wafuasi wao wanashirikiana kula nchi. Na washauri wazenji badala ya kupinga ndoa ya Tanganyika na Zanzibar pingeni ndoa ya CUF na CCM 2tawaunga mkono na tofauti za fulani ni mshika bible na huyu Qur'an zitawekwa pembeni