CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Mwanamke mmoja raia wa Marekani amewashangaza wengi baada ya kuandaa harusi na kujioa mwenyewe kwa kula kiapo mbele ya kadamnasi.Mwanamke huyo kwa jina Nadine Schweigert mwenye umri wa miaka 36 amekua gumzo kwenye vyombo vya habari kutokana na kitendo hicho cha kuandaa harusi na siku ya siku yeye mwenyewe alikua bibi harusi na huyohuyo akawa bwana harusi.
Chanzo:gazeti la Habari leo.
Chanzo:gazeti la Habari leo.